• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Fundi Uashi Aliyejenga Mabweni Shule ya Sekondari Nkowe Ameagizwa Kufanya Marekebisho ya Fremu Za Milango

Posted on: October 17th, 2017

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango imemtaka fundi uashi aliyejenga mabweni katika shule ya sekondari Nkowe afanye marekebisho ya frem za milango alizoziweka katika mabweni mapya yanayojengwa katika shule hiyo.

Kauli hii imetokana na baada ya kamati kufanya ziara yake kama ilivyoada na kugundua kuna madhaifu makubwa katika uwekaji wa fremu za milango katika upande wa mabweni.

Hayo aliyasema wakati wa ziara ya kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango iliyofanyika tarehe 16/10/2017, Ziara hii ilijumuisha waheshimiwa madiwani pamoja na wataalamu kutoka Halmashauri.

Mhe Mwenyekiti wa Halmashauri Rashidi Nakumbya alisema majengo yanayojengwa katika shule hiyo ni mazuri ila watu wachache wanaweza kuyafanya yakawa hayana mvuto unaotakiwa.

“Serikali inafanya mambo mazuri ya kusaidia kutoa misaada kama hiyo inapaswa siye tunaopewa tuitende haki kwa kujenga kwa ustadi unaotakiwa ili tuweze kuwa na sifa na vigezo vya kupata mikopo mingine”alisema Nakumbiya.

Vile vile kamati hiyo ilimuagiza mhandisi wa maji kwenda katika kijiji cha michenga kuongea na serikali ya kijiji na wananchi kiujumla kueleza mambo yote yanayohusiana na mradi wa maji uliopo katika kijiji cha Michenga.

“Serikali ya sasa ni ya uwazi sana hivyo ni muhimu wananchi wetu kujua kila kitu kinachohusu na kinachoendelea katika mradi huu wa ufadhili wa Japan”alisema Nakumbya.

Wakati huo Mwenyekiti wa Halmashauri aliutaka uongozi wa kamati ya ujenzi katika shule ya Sekondari Ruangwa ikajifunze katika kata zingine wanafanyaje kazi zao katika kuwashirikisha wananchi na mpaka wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo.

Mwenyekiti alisema Wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo ya maeneo yao ni jambo la msingi na umuhimu hivyo nawaagiza muitishe kikao cha wazazi muweze kujadiliana jinsi watakavyotia nguvu zao kwa namna moja.

“Maeneo mengi yameamka sasa hivi wananchi wake wanajitoa sana katika kutia nguvu zao ili kuendeleza shughuli za kimaendeleo zinazofanyika katika maeneo yake sasa nashangaa hapa mjini bado watu hawan amuamko katika hilo inapaswa muwashirikishe kuanzia sasa”alisema Nakumbiya.

Katika ziara hii kamati ilitembelea miradi mbalimbali ambayo ni Mradi wa ujenzi Radio Ruangwa, Ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari Ruangwa, Ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari Kassim Majaliwa,Ujenzi na ukarabati wa kituo cha Afya Nkowe, Ujenzi wa vyumba vya madarasa na mabweni shule ya sekondari Nkowe, Ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Michenga na Mradi wa maji katika kijiji cha Nangumbu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa