• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Endeleeni kujiunga na CHF iliyopo sasa- DC Ruangwa

Posted on: October 10th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mheshimiwa Hashim Mgandilwa amewataka wakazi wa Ruangwa kuendelea kujiunga mfuko wa jamii  (CHF) iliyokuwa inatumika mwanzo ya shilingi  15,000 wakati wakiendelea kusubiri kuletewa CHF iliyoboreshwa ya shilingi 30,000.

Amesema hayo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika  kata ya Mandarawe katika vijiji vya Nandeje, Nachinyimba na Mandarawe Leo 10/10/2018 .

Amesema Mheshimiwa Mgandilwa  CHF iliyoboreshwa itakuwa ni nzuri sana kwani inawafanya mpate matibabu ndani ya Mkoa kwa watu 6  watu wazima wawili na watoto waliochoni ya miaka 18 wa nne hivyo itakapofika mjiunge kwa wingi kuepusha gharama kubwa za matibabu ukiwa ndani ya Wilaya na nje ya Wilaya.

"Mie nawaonea huruma wananchi wangu wa Ruangwa ndiyo maana nawasisitiza mjiunge na CHF  kwasababu unalipia shilingi 15,000 kwa mwaka na mnapata matibabu watu 6 sasa kwanini mmalize pesa kwa kila siku kwenda kutibiwa na kulipia matibabu, CHF ni mkombozi wenu" asema Mheshimiwa Mgandilwa.

Aidha amewataka wananchi hao kuacha kufanya unyago kwa watoto wao kipindi cha muhula  ya masomo na waelewe kuwa serikali inaheshimu mila na tamaduni ila shughuli hizo zifanywe wakati wa likizo za mwezi wa sita na kumi na mbili ili kuwapa watoto wao fursa ya kupata elimu ikiwa ni haki yao ya msingi.

"Nitoe onyo kwenu yoyote atakayefanya shughuli za unyago wakati wa masomo pamoja na kufanya vigodoro nitamshughulikia, fanyeni unyago kipindi kilichokubalika lakini sio vigodoro." amesema Mgandilwa.

Naye bi Asha Mapua alisema wao wataendelea kujiunga na CHF ya zamani kama Mkuu wa Wilaya alivyowataka Ile serikali ingefanya haraka kuwaletea CHF iliyoboreshwa kwani wanaisubiri kwa hamu.

Pia Mzee Huruma Hemedi aliwaomba wananchi kufuata maagizo ya Mkuu wa Wilaya ya kuzingatia muda wa kufanya  unyago ambao unapaswa kufanyika.

Alisema elimu ni kitu muhimu hivyo ni wajibu wao kufuata mitaala ya elimu na watazingatia hilo ili kukuza kiwango cha ufaulu katika shule zote za Wilaya ya Ruangwa.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa