• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

DC RUANGWA ASISITIZA UKUSANYAJI MAPATO

Posted on: March 1st, 2023

Mkuu a wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, HASSAN NGOMA amewataka madiwani na wataalamu wa Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa kuhakikisha wanaweka mkazo katika ukusanyaji mapato na kuacha kufanya mzaha kwakua malengo ya serikali yanapaswa kufikiwa kwa mujibu mipango iliojiwekea.

Ngoma ameyasema hayo katika kikao cha baraza la madiwani robo ya pili lililofanyika machi 1, 2023 wilayani humo ambapo mjadalawa mapato ulichukua nafasi kubwa kwa madiwani kulalamikia kuhusu uhaba wa mapato jambo linalochelewesha utekelezaji wa baadhi ya mambo yalio katika mpango wa maendeleo ya wilaya ya Ruangwa.

“Kasimamieni mapato, haitoshi kutoa kauli nzito nzito kwenye baraza halafu hakuna kilichofanyika,Ruangwa ni katika Halmashauri wabovu katika kukusanya mapato nje ya mapato ambayo yanakuja kupitia ufuta na korosho, kwahiyo tukasimamie mapato tuweze kuyafikia malengo ya kimaendeleo tulijiwekea na yalioagizwa na serikali” alisema Ngoma ambae ni mkuu wa wilaya ya Ruangwa.


Awali mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Ruangwa Frank Chonya alibainisha mpaka kufikia mwezi Februari mwaka huu Halmashauri imeshakusanya bilioni mbili milioni mia nane sabini na tano laki tatu kumi na mbili elfu n amia tano kumi na sita (2,875,312,516) sawa na asilimia 52% huku madiwani wakiwamo shabani kambona na Dareen Wolfram wakieleza kuwa wanataegemea Kwenda kufanya vikao na viongozi wa vijiji kuhamasisha na kushiriki katika kuhakikisha wanadhibiti shughuli za kuvuja kwa ukusanyaji mapato ili malengo waliyojiwekea yafikiwe katika kuleta maendeleo ya halamshauri.

“Hatujafikia hatua nzuri ya makusanyo kwa sababu tunacheza na vyanzo vya mapato vile vile vya zamani vyanzo vipya labda hivi vya vitalu vya madini kama tutapata mwekezaji, hata hivyo niytaenda kuanda mkakati na wakuu wa idara katani kwangu kuweka mipango kabambe ya kuthibiti mapato yanayotoroshwa katika kata ya nanganga” alisema kambona amabae ni diwani wa kata ya Nanganga wilayani Ruangwa mkoani Lindi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa