• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Dc Mgandilwa amuagiza Mkurugenzi kumbadilishia majukumu mtendaji wa mtimbo

Posted on: December 6th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mheshimiwa Hashim Mgandilwa amemuagiza  Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri kumbadilishia majukumu ya kazi mtendaji wa kijiji cha mtimbo Ruangwa Chande .n.Chande.

Ametoa tamko hilo kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha mtimbo kilichopo kata ya Likunja leo 06/12/2018.

Mkuu wa Wilaya ametoa agizo hilo la kubadiishiwa majukumu  mtendaji huyo kutokana na utoro kazini na kukwamisha maendeleo ya kijiji.

Amesema Mheshimiwa mtendaji Chande amekuwa na utaratibu wa kujichagulia muda na siku za kufika kazini na huku akijitapa kuwa yeye anajipangia apangiwi.

"Unakuwa muajiriwa wa serikali alafu unafanya mambo ya kijinga kama ya Chande wewe hufai kuwa muajiriwa wetu ukatafute kazi sehemu nyingine kabla sijakubaini siwezi kumfumbia macho mtu anaekwamisha serikali amesema Mgandilwa

Mkuu wa Wilaya amemtaka Afisa Utumishi wa Wilaya kutompangia kazi ya utendaji katika kijiji chochote kile kilichopo ndani ya Wilaya.

" Sitaki kumuona huyo katika vijiji vyangu mtoe umpeleke hata kufagia ofisini halmashauri na si katika hivi vijiji sitaki kumuona kabisa aiwezekani amrudishe nyuma Rais wetu" amesema Mgandilwa.

Naye bibi ngonza sidflide amesema mtendaji huyo amekuwa na tabia za kuwajibu kuwa yeye hawezi kuhamasisha shughuli za kimaendeleo kwasababu yeye ni mwanachama wa Chama cha  CUF.

Aliendelea amekuwa na tabia ya kutokufika kazini hivyo kusababisha wananchi kutokupata huduma wanazoitaji na akiulizwa anasema yeye anajipangia muda na siku ya kufika kazini.

MWISHO

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa