• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Changamoto Ya Huduma Za Afya Mbecha Yapatiwa Ufumbuzi

Posted on: March 1st, 2018

Changamoto ya upatikanaji wa huduma za afya iliyokuwa inawakabili wakazi wa kijiji cha Mbecha kata ya Nanganga imekuwa historia baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa zahanati.

Amesema wakazi hao walikuwa wakipata shida ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika vijiji vya jirani mara mtu anapougua ikiwa pamoja na dharura mbalimbali zikiwemo za wajawazito.

Waziri Mkuu ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ruangwa ameweka jiwe hilo la msingi tarehe 01/03/2018, alipowasili mkoani Lindi kwa ziara ya kikazi katika jimbo la Ruangwa. Ujenzi wa zahanati hiyo umefadhiliwa na Africa Relief Organisation.

“Mbecha mtu akiugua tulikuwa tunapata shida ya sehemu ya kupata huduma ya matibabu, leo matibabu yatakuwa yanapatikana hapa kijijini. Kwa niaba ya wanaruangwa nawashukuru sana viongozi wa African Relief Organisation”Amesema Waziri Mkuu

Waziri Mkuu amesema kuwa mkakati wa Rais Dr John Pombe Magufuli ni kuimarisha sekta ya afya kwa kujenga na kuboresha vituo vya Afya ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma za afya karibu na makazi yao.

“ Jiungeni na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kupunguza gharama za matibabu kwa familia kwani huduma hii mtu anapojiunga ananafasi ya kuwakatia kadi watoto wanne , mke na mume kwa shilingi elf 15,000”amesema Waziri Mkuu.

Awali, Mtendaji wa kijiji cha Mbecha bw. Alfani Ngaeje alisema wazo la ujenzi wa zahanati ya kijiji hiko lilianza mwaka 1987, ambapo utekelezaji wake ulikwama kutokana na hali duni ya kiuchumi iliyokuwa ikiwakabili wakazi wake.

Amesema wananchi wengi wameendelea kupata shida ya kupata huduma za afya hasa kinamama wajawazito na watoto walikuwa wakitembea umbali mrefu kufuata huduma hiyo kwenye zahanati za vijiji vya jirani.

Hivyo alimshukuru waziri mkuu kwa niaba ya wakazi wa kijiji hicho kwa kuwatafutia mfadhiri aliyewajengea zahanati hiyo ni pamoja na matibabu ya wangonjwa wa nje(OPD),kliniki kwa wajawazito na watoto,chanjo na uzazi wa mpango.

Huduma nyingine ni kuzuia maambukizi wa virusi vya ukimwi kutoka kwa mama kwenda mtoto,kujifungua,elimu ya kujikinga na magonjwa mbalimbali. Jumla ya kaya 594 zenye wakazi 2,485 wanatarajiwa kunufaika na zahanati hiyo.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa