• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WAKUU WA IDARA NA VITENGO RUANGWA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA IFTMIS

Posted on: April 29th, 2025

Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa wamepewa mafunzo ya Mfumo wa Inspection and Financial Tracking Management Information System (IFTMIS), leo Jumanne, tarehe 29 Aprili 2025, mafunzo hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo.


Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo watendaji katika matumizi sahihi ya mfumo wa IFTMIS, ambao ni mfumo wa kidijitali unaotumika katika usimamizi wa taarifa za kifedha na ufuatiliaji wa hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kwa lengo la kuongeza uwazi na uwajibikaji katika taasisi za umma, kupitia mfumo huo majibu ya hoja huandaliwa, kuwasilishwa na kushughulikiwa kwa njia ya kielektroniki.


Aidha, Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Wilaya ya Ruangwa, Ndugu Jitetee Mbonde, ameongoza mafunzo hayo akishirikiana na Mhasibu wa Wilaya, CPA Goodluck Swai. Kwa pamoja wameeleza kwa kina jinsi mfumo wa IFTMIS unavyofanya kazi na namna ya kuutumia kwa ufanisi ili kuhakikisha hoja za CAG zinajibiwa kwa usahihi na kwa wakati.


Vilevile, washiriki wa mafunzo hayo wamepata nafasi ya kujadiliana na kuuliza maswali kuhusu changamoto zinazoweza kujitokeza katika matumizi ya mfumo huo. Mafunzo haya yamewasaidia kuelewa vizuri wajibu wao katika mnyororo wa uwajibikaji wa kifedha.


Hata hivyo, viongozi hao wamepongeza jitihada za Halmashauri katika kuwawezesha kiufundi na kuahidi kutumia kikamilifu maarifa waliyopewa ili kuongeza uwajibikaji na ufanisi katika utendaji wao wa kila siku.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MAAFISA WAANDIKISHAJI WAPEWA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU RUANGWA

    May 14, 2025
  • CHONYA AWATAKA MAAFISA WAANDIKISHAJI RUANGWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA UADILIFU

    May 14, 2025
  • CHONYA AWATAKA MAAFISA WAANDIKISHAJI RUANGWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA UADILIFU

    May 14, 2025
  • KUWEKWA WAZI DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    May 13, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa