• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MKUU WA WILAYA YA RUANGWA AZINDUA ZOEZI LA UCHANJAJI NA UTAMBUZI WA MIFUGO

Posted on: September 2nd, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma, leo Septemba 2, 2025, amezindua rasmi zoezi la uchanjaji na utambuzi wa mifugo katika Kijiji cha Nangumbu, Kata ya Malolo wilayani Ruangwa, zoezi hilo ni hatua muhimu ya kulinda afya ya mifugo na kuinua uzalishaji wa mazao ya mifugo kwa wakulima na wafugaji wa Wilaya hiyo.


Akisoma taarifa ya uzinduzi huo, Afisa Mifugo wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Hassan Mdoembazi, amesema Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imepeleka chanjo, vifaa vya uchanjaji na utambuzi wa mifugo kwa ajili ya kampeni hiyo. Amefafanua kuwa Wilaya ya Ruangwa imepokea chanjo za kuku aina ya tatu chupa 550 ambazo zitatumika kuchanja kuku zaidi ya 110,000 dhidi ya magonjwa hatari yakiwemo kideri, mafua na ndui.

Aidha, chanjo za mbuzi na kondoo ambazo ni chupa 95 zitatumika kuchanja zaidi ya mifugo 9,500 dhidi ugonjwa wa Sotoka, huku chupa 30 za chanjo ya ng’ombe zikitarajiwa kuchanja jumla ya 3,000 dhidi ya ugonjwa wa homa ya mapafu.


Akizungumzia umuhimu wa kampeni hiyo, Mdoembazi amesema chanjo na utambuzi wa mifugo vitasaidia kuongeza uzalishaji wa mazao bora ya mifugo, kuimarisha afya za wanyama, kupunguza gharama za matibabu kwa wafugaji na kulinda ustawi wa jamii.


 “Hii ni fursa ya kupunguza hasara zinazotokana na vifo vya mifugo na kuongeza kipato cha kaya kupitia mazao bora ya mifugo,” amesema Mdoembazi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Ngoma amewataka wafugaji wote kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo ili kuhakikisha mifugo yao inalindwa na kuwekewa utambulisho sahihi. Aidha, amesisitiza kuwa Serikali imetoa ruzuku kubwa ili kuhakikisha wafugaji wanapata chanjo kwa gharama nafuu huku akiwataka kufanya ufugaji wa kisasa zaidi.


Kwa mujibu wa taarifa hiyo, hadi sasa zaidi ya kuku 107,800 wamekwishachanwa, sawa na asilimia 98 ya lengo, huku matarajio yakiwa ni kufanikisha chanjo kwa ng’ombe 3,000 na mbuzi pamoja na kondoo 9,500 katika Wilaya nzima ya Ruangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKUU WA WILAYA YA RUANGWA AZINDUA ZOEZI LA UCHANJAJI NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    September 02, 2025
  • WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII RUANGWA WASAINI MIKATABA KUANZA KAZI RASMI

    September 01, 2025
  • MSIMAMIZI WA UCHAGUZI RUANGWA AMKABIDHI FOMU YA UTEUZI MGOMBEA WA CHAUMMA

    August 25, 2025
  • ELISHA AIPATIA RUANGWA NAFASI YA PILI UCHORAJI SHIMISEMITA 2025

    August 24, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa