• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WANANCHI WATAKIWA KUTUNZA MISITU ILI IWALETEE TIJA KIUCHUMI

Posted on: October 7th, 2022

Wananchi wilayani Rungwa mkoani Lindi, watakiwa kutunza misitu ya asili ili iweze kuwaletea tija kiuchumia kupitia uvunaji wa kisasa unaozingatia utunzaji wa mazingira.

Rai hiyo imetolewa tarehe 7 Octoba, 2022, na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya Ruangwa Maisha Mtipa, alipokua anafungua kikao cha Tathimini ya uvunaji wa misitu wilayani humo iliofanyika katika ukumbi wa jengo la mkuu wa wilaya hiyo.

Akizungungumza katika kikao hicho Mtipa, ameshukuru shirika la kuhifadhi misitu Tanzania (TFCG) Kwa kutoa elimu juu ya matumizi bora ya Ardhi ikiwamo kuelimisha juu ya utaratibu wa utunzaji na uvunaji wa rasilimali misitu katika baadhi ya vijiji ikiwamo Kijiji cha Malolo ambapo wananchi wake wamepatiwa elimu hiyo iliyoanza kutekelezwa kwa vitendo na kuonyesha tija.

Aidha amesema ni muhimu sasa jamii ya watu wa Ruangwa kwa mfano wa Kijiji cha malolo kuhakikisha wanaendeleza utaratibu wa uvunaji bora wa rasilimali misitu ili ziweze kuwanufaisha kiuchumi na kuchochea maendeleo katika vijiji husika wilaya na Taifa kwa ujumla.

“taaluma hii ya uvunaji wa misitu kitaalamu  tuhakikishe tunaitumia ipasavyo ili iweze kuleta mabadiliko katika vijii vyetu lakini hata kwetu mmoja mmoja kiuchumi kupitia mavuno tutakayoyafanya tutunze na tulinde uhifadhi wa misitu yetu ili iweze kuleta tija endelevu” Alisema Mtipa.

Athumani Rashidi ambae ni Afisa mradi wa kuhifadhi misitu kupitia biashara endelevu ya mazao ya misitu alisema,mfumo wa uvunaji mkaa na Mbao endelevu unazingatia uendelevu wa ikolojia, rasilimali na motisha kwa jamii zinazosimamia misitu pamoja na kuzingatia hatua na masharti katika kutunza misitu na kubainisha kuwa kutotumia mbinu hizo kunasbabisha Taifa kupoteza mapato takribai bilioni 220 kwa mwaka zinzotokana na uvunaji wa mkaa.

Miongoni mwa walengwa walionufaika na mradi huo kutoka Kijiji cha malolo Frank Daudi mwambe, anazema tangu kuanza kwa mradi mwezi Agost 2021 mpaka sasa kupitia kikundi chao cha Likunga mkaa endelevu wamfanikiwa kuvuna gunia 120 mpaka sasa, ambapo amebainisha kuwa wameshapata soko ambalo kila gunia moja lenye ujazo wa kg 50 watauza kwa shilingi 8,000/=.

“Hatujaanza kuuza lakini tunategemea tukianza biashara hii itatusaidia kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na serikali yetu ya Kijiji na tayari tumeshapata soko la kuuzia” alisema Daudi.

Alipoulizwa kuhusu namna wanavyoimarisha matumizi bora ya ardhi katika Kijiji cha malolo na namna ya kulinda misitu hiyo isivamiwe na wahalifu Andrea Gelion ambae ni moja ya wakata mkaa kijijini hapo alisema, wamekua wakifanya doria katika eneo la hifadhi ili kulinda misitu hiyo ikiwa ni Pamoja na kutoa hamasa kwa wana jamii kuzingatia uvunaji wa kisasa unaozingatia hatua za uvunaji endelevu.

Inaelezwa kuwa asilimia 96% nchini Tanzania jamii hutumia nishati ya kuni na mkaa kwa ajili ya kupika ambayo ni zaidi ya tani milioni 2.3 zinatumika kwa mwaka, hivyo matumizi ya uvunaji bora na endelevu wa rasilimali misitu Pamoja na kuongeza tija kiuchumia pia kutaimarisha utunzaji wa mazingira.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 04, 2025
  • WANAFUNZI RUANGWA WAIBUKA KIDEDEA USAFI NA UNADHIFU UMISSETA 2025 MKOA WA LINDI

    June 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA NISHATI SAFI WANDORWA

    May 28, 2025
  • RUANGWA YAPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 KUTOKA LINDI MANISPAA

    May 28, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa