Posted on: November 4th, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa tunatoa pongezi zetu za dhati kwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....
Posted on: October 29th, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa, Mhe. Hassan Ngoma, ameshiriki kupiga kura leo 29 Oktoba 2025 katika Kituo cha RUTESCO, Jimbo la Ruangwa, akitimiza haki yake ya kikatiba katika uchaguzi wa Rais, Mbunge na M...
Posted on: October 26th, 2025
Wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo vya kupigia kura katika Jimbo la Ruangwa wameapishwa rasmi leo Oktoba 26, 2025, wakitakiwa kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, uzalendo na kufuata sheria ...