Posted on: March 6th, 2025
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitembelea mabanda ya taasisi na wajasiriamali mbalimbali katika Kongamano la Wanawake linalofanyika katika viwanja vya Maegesho ya Malori leo, Machi 6, 2025.
...
Posted on: March 5th, 2025
Wanawake na wasichana wa Wilaya ya Ruangwa wamejitokeza kwa wingi leo, Machi 5, 2025, katika kilele cha Siku ya Wanawake kiwilaya, ambapo wamefanya maandamano ya kihistoria katika viwanja...
Posted on: March 5th, 2025
Kituo cha Redio Jamii Ruangwa FM kimetoa tuzo kwa wanawake waliotoa mchango mkubwa katika maendeleo ya jamii, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ngazi...