Posted on: June 12th, 2019
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe, Hashim Mgandilwa ameziagiza Serikali za vijiji kuacha kuingia mikataba na watu kabla ya kuifikisha katika Ofisi ya Mkurugenzi kwa ajili ya kupitiwa, kwani kukiuka kufany...
Posted on: June 10th, 2019
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe Hashim Mgandilwa amewataka wachimbaji wote wa Madini wasio na leseni wala mkataba kutoka kwa waajiri wenye mgodi kununua Vitambulisho vya Mjasiliamali.
Ameyasema hayo ...
Posted on: May 23rd, 2019
Mkuu wa Wilaya ya Mhe. Ruangwa Hashim Mgandilwa amepiga marufuku wamiliki wa viwanja vya kucheza unyago kutumia Mangariba wasio na vitambulisho vya mjasiliamali mdogo.
Amesema hayo leo Mei 23/2019 ...