Posted on: June 16th, 2022
Kupitia mafunzo ya utawala bora, Mwezeshaji Mwalimu Uzima Milele Justine ameshauri serikali za vijiji kufanya kazi kwa uwazi na kutoa taarifa kwa wananchi kwa wakati.
Ametoa ushauri huo wakati wa m...
Posted on: June 15th, 2022
Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Hassan Ngoma amewataka wananchi wa Ruangwa kushirikiana na serikali kwani ndiyo inayoshughulika na changamoto ambazo wawakilishi wao wanawasemea ili kuleta maendeleo ka...
Posted on: June 14th, 2022
Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mheshimiwa Hassan Ngoma ameagiza watumishi wa serikali kufanya kazi kwa kufuata kanuni na taratibu za kiutumishi.
Ameagiza hilo wakati akizungumza na wananchi na watumishi...