• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

YA GOTHOMIS

Posted on: October 3rd, 2024

Mafunzo ya mfumo wa Gothomis Centralized yameendelea kwa wafawidhi wa vituo vya afya, departmental incharge wa Hospitali ya Wilaya ya Ruangwa, katibu wa afya, na maafisa wa TEHAMA, yakifanyika katika ukumbi wa hospitali hiyo leo Octoba 03, 2024, mafunzo hayo yanaendeshwa na mtaalam kutoka TAMISEMI kwa lengo la kuwajengea uwezo wafawidhi kuhusu usimamizi bora wa taarifa za afya.


Wafawidhi wa vituo vya afya wanajifunza jinsi ya kutumia mfumo wa Gothomis ili kuboresha utunzaji wa taarifa za wagonjwa na huduma za afya kwa ujumla. Mfumo huo unalenga kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za afya kupitia matumizi ya teknolojia ya kisasa.


Mtaalam kutoka TAMISEMI ameweka wazi kuwa mfumo wa Gothomis utarahisisha ufuatiliaji wa taarifa za wagonjwa na kuongeza uwazi katika utoaji wa huduma. Pia, itawawezesha wafawidhi kusimamia kwa urahisi zaidi shughuli za kila siku za vituo vya afya na hospitali.


Mafunzo hayo yanaendelea kwa siku kadhaa, yakitarajiwa kuboresha kwa kiasi kikubwa namna ya utunzaji wa taarifa na kuboresha utoaji wa huduma bora za afya kwa wananchi wa Wilaya ya Ruangwa.


Ikumbukwe, GOTHOMIS Centralized (Government of Tanzania Health Operations Management Information System) ni mfumo wa kidijitali uliotengenezwa na Serikali ya Tanzania ili kuboresha usimamizi wa taarifa za huduma za afya katika vituo vya afya, zahanati, hospitali, na taasisi nyingine za afya. Mfumo huu unawezesha ukusanyaji, utunzaji, na ufuatiliaji wa taarifa za wagonjwa kwa njia ya kisasa, ikiwa ni pamoja na taarifa za matibabu, dawa, na huduma zingine zinazotolewa katika vituo vya afya.


GOTHOMIS Centralized pia unalenga kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za afya kwa kurahisisha utunzaji wa takwimu, kutoa ripoti sahihi kwa wakati, na kusaidia maamuzi ya haraka na yenye tija kwa watendaji wa sekta ya afya. Mfumo huu unaunganisha vituo vya afya vilivyoko katika maeneo mbalimbali ili kuwezesha taarifa kutolewa na kufuatiliwa kutoka ngazi ya Wilaya hadi Kitaifa.

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa