• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WIZI WA KOROSHO MASHAMBANI – WAKULIMA WALALAMIKA RUANGWA

Posted on: October 4th, 2022

 Wakulima wanaolima zao la korosho wilayani Ruangwa mkoani Lindi, hususan wanaotokea katika vijiji vya Namikulo, chunyu na Liuguru, wamelalamikia kuwapo kwa vitendo vya wizi wa korosho zilizo mashambani kwa baadhi ya wananchi wasio waadilifu.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti octoba 4, 2022, wanakijiji wakiwamo Mohamedi likonja wa Namikulo amesema kumekua na tabia za baadhi ya watu wasiofahamika kupita katika mashamba na kuokota korosho zilizopo kisha kuondoka nazo bila ya ridhaa ya mwenye shamba.

“Yaani sikuhizi ukichelewa tu Kwenda shambani kuokota korosho zilizoanguka tayari utashangaa unakuta zishaokotwa na alieokota hajulikani, kwahiyo ni wizi umezuka” Alisema Likonja.

Aidha kwa upande wake Bwana Mikidadi Ng’apuka ambae ni mkulima wa korosho Kijiji cha Chunyu amesema wizi uliopo pia mbali na kuokota korosho zilizoanguka pia kumekuwapo na tabia ya kupanda juu ya miti yenye korosho kisha kutikisa ili zianguke kwa wingi na zinapoanguka huzikusanya na kuondokana nazo pia.

“Wanaokota zilizondoka kwa upepo na kisha wanatikisa miti pia n ahata kupanda juu ili kutikisa zidondoke kisha wanaondoka nazo” alisema Ng’apuka

Walipoulizwa baadhi ya sababu zinazopelekea kutokea kwa hali hiyo Bwana Mahina ambae ni mkulima wa Kijiji cha liuguru ametaja sababu za kuwapo kwa hali hiyo ni kutokana na uuzaji holela uliozuka maarufu kama CHOMA CHOMA, na kutaja kuwa ndio sababu inayopelekea watu kuiba korosho ili wakauze kwa wanunuzi holela wanaopita mitaani.

“Sababu kubwa hap ani wanunuzi holela choma choa ndio maana mtu anaona bora aibe kisha auze kwakua hatajulikana lakini ingekua ghalani lazima wangejulikana maana kila mkulima kuna taarifa zake sasa mtu ambae si mkulim rahisi kumbaini” alisema.

Katika kuhakikisha suala hilo linadhibitiwa wakulima hao wameiomba serikali za vijiji kuhakikisha wanaunda vikundi vya ulinzi shirikishi ili kuwadhibiti wezi hao Kwaku wakulima wanatumia ghalama kubwa kuandaa mashamba mpka kufikia hatua ya mavuno.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa