• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Wizara ya Mifugo yavifikia vikundi vya wafugaji wanawake ruangwa

Posted on: March 16th, 2022

Vikundi 12 vya wanawake zaidi ya 140 wanaojihusisha na ufugaji wilayani Ruangwa Mkoani Lindi wamepatiwa msaada wa kuku kutoka wizara ya mifugo na uvuvi kwa lengo la kuwasaidia kuendelea kujikwamua kiuchumi.


Hatua hiyo inakuja kufuatia Ombi la Mbunge wa Ruangwa ambae ni waziri mkuu wa Tanzania, Mh. Kassim Majaliwa, kumuomba Naibu waziri wa Mifugo Abdallah Ulega, kupitia wizara yake kuwasaidia vifaranga vya kuku wafugaji hao wakati alipofika katika ziara yake ya kikazi wilayani humo.

Akikabidhi Vifaranga hivyo, mapema machi 16 mwaka huu, katibu wa mbunge wa Ruangwa Kasambe Hokororo  amesema madhumuni ya kuku hao kwa wanavikundi ni kuwawezesha ili wajikwamue kiuchumi huku Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa George Mbesigwa akiwataka wanufaika kuwafuga kuku hao vizuri ili waweze kuzalisha kwa wingi.

Kwa mujibu wa Afisa mifugo na uvuvi wilaya ya Ruangwa Salum Msangi ni kwamba kuku hao waliwapokea kutoka wizarani wakiwa elfu tatu na wanakenda kuwagawa katika vikundi 12 ambapo kati ya hivyo vikundi 2 ni vya mashamba darasa watapa kuku 600 kila kikundi huku vikundi 10 ni vya wanachama vinavyotajwa kupata kuku 150 kwa kila kikundi.

Mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 14, 2022
  • MATOKEO USAHILI WA KUANDIKA YA NAFASI ZA KAZI April 20, 2022
  • TANGAZO LA KUUZA VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA May 25, 2018
  • matokeo ya kidato cha nne 2018 January 24, 2019
  • Ona zote

Habari mpya

  • Veta imetoa mafunzo ya ufugaji kuku na samaki ruangwa

    May 19, 2022
  • samaki

    May 19, 2022
  • samaki

    May 19, 2022
  • Tumieni mafunzo katika kujikwamua kiuchumi

    May 18, 2022
  • Ona zote

Video

RAIS MAGUFULI AZINDUA UJENZI WA FLY OVER UBUNGO
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa