• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WILAYA YA RUANGWA YAJIFUNZA BIASHARA YA HEWA UKAA WILAYANI TANGANYIKA

Posted on: March 18th, 2024

Viongozi na Wataalam wa Wilaya ya Ruangwa wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya Mhe. Hassan Ngoma wamewasili wilayani Tanganyika Mkoa wa Katavi kwa lengo la kupata mafunzo kuhusu biashara ya hewa ukaa.


Mafunzo hayo kufanyika Machi 18, 2024 yakiongozwa na Afisa Misitu wa Wilaya ya Tanganyika Ndugu Ephraim Luhwago ambapo ametoa wito kwa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kutoa elimu kwa jamii kuhusu umuhimu wa kutunza misitu na maeneo yanayozunguka misitu.


" Inatakiwa kuwe na uwazi na kushirikisha wananchi ili wasiweze kuharibu misitu kwani biashara ya hewa ukaa ni biashara kubwa na ina faida kubwa ambayo huweza kukuza uchumi wa Halmashauri zetu" Amesema


Aidha, Luhwago ameendelea kusema kuwa biashara ya hewa ukaa ni biashara ya kimataifa na huwa inahusisha Halmashauri ya Wilaya, Mwekezaji na mnunuzi. Kwa upande wa mwekezaji ana faida ya 39% na Halmashauri ya Wilaya ina faida ya 61%


Katika hatua nyingine Mheshimiwa Ngoma ametoa wito kwa viongozi na Wataalam wa Wilaya ya Ruangwa kuyatekeleza kwa vitendo yale waliyojifunza kuhusu biashara ya hewa ukaa katika Wilaya ya Ruangwa ili kuinua uchumi wa Halmashauri na kuwa wajumbe wazuri wa kutoa elimu kwa jamii.


Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ruangwa Mheshimiwa Andrew Chikongwe ametoa shukrani kwa uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda kwa mapokezi mazuri na elimu ya kutosha tena yenye tija na kuahidi kwamba watatumia elimu hiyo kwa vitendo katika Wilaya ya Ruangwa ili kukuza uchumi wa Wilaya, Mkoa na Nchi kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa