• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WAZIRI DKT. JAFO AANZA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI RUANGWA

Posted on: September 20th, 2024

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Seleman Jafo, ameanza ziara yake ya kikazi katika Wilaya ya Ruangwa leo, Septemba 20, 2024, na kupokelewa kwa shangwe na wananchi wa Wilaya hiyo, ziara hiyo ni sehemu ya juhudi za Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kuhakikisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo unafanyika kwa ufanisi.


Ziara ya Dkt. Jafo imelenga kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Wilaya ya Ruangwa, miradi hii ni sehemu ya mikakati ya Serikali ya Awamu ya Sita, ambayo inasisitiza utekelezaji wa miradi mikubwa ya kiuchumi na kijamii katika maeneo mbalimbali nchini.


Aidha, Kauli mbiu ya ziara hio ni, "Rais Samia na Maendeleo Wasikie na Waone," inaakisi dhamira ya Serikali ya Rais Samia kuhakikisha kuwa wananchi wanaona matunda ya juhudi zake za kuwaletea maendeleo, hii ni sehemu ya kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika kufuatilia na kufaidi miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa.


Katika hotuba yake, Dkt. Jafo ameeleza kuwa Serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha miradi yote inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaokubalika, amehimiza viongozi wa Wilaya kushirikiana kwa karibu na wananchi ili kuhakikisha changamoto zote zinazohusiana na utekelezaji wa miradi zinapatiwa ufumbuzi wa haraka.


Katika hali ya sasa, Wilaya ya Ruangwa inaendelea kunufaika na miradi mbalimbali ya maendeleo kama vile ujenzi wa shule, barabara, miundombinu ya maji na huduma zingine za kijamii. Kwa kuangalia historia ya maendeleo ya Wilaya hii, tumeshuhudia mabadiliko makubwa katika miaka ya hivi karibuni, huku matarajio ya baadae yakiwa ni kuifanya Ruangwa kuwa kitovu cha maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Ili kufikia lengo hilo, ushirikiano baina ya Serikali, wananchi, na wadau mbalimbali ni muhimu ili kuhakikisha miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi na kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa