• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Wazazi Watakiwa Kusimamia Maendeleo ya Elimu

Posted on: February 20th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Godfrey zambi, amewataka Wazazi kushirikiana na uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ili kuleta matokeo chanya katika ufaulu wa wanafunzi Wilayani humo.

Zambi ameyasema hayo siku jana katika mikutano ya hadhara aliyoifanya katika kata ya makanjiro na Likunja alipotembelea na kukagua maendeleo ya shule ambapo alikagua pia maandalio ya walimu na kuangalia maendeleo ya wananfunzi katika shule za msingi, Mbangara, Chikoko, Chilangalile ikiwa ni ziara yake ya kikazi.

Zambi amesema wazazi wanajukumu la kuwasaidia walimu katika kuongeza ufauli kwa kukagua madaftari ya wanafunzi na kufuatilia maendeleo ya watoto wao shuleni na kuhakikisha wanakuwa na maadili mema .

“Watoto wa siku hizi unamkuta mtoto wa kidato cha kwanza au msingi anamiliki simu na mzazi ajui simu hiyo mtoto wake ameitoa wapi, wazazi zuieni matumizi ya simu kwa watoto wenu wadogo na mfuatilie wanazitoa wapi” amesema Zambi

“Ruangwa ya ufaulu inawezekana, Ruangwa bila mimba za utotoni inawezekana , Ruangwa bila utoro mashuleni inawezekana na haya yote yatawezekana kwa ushirikiano wa walimu wa wanajamii”.amesema zambi

Wakati huo huo Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Joseph Mkirikiti amewataka walimu kuipenda na kuifanya kazi yao kama ni wito na kutimiza majukumu yao ili  kutoka katika kipindi hiki kibovu cha ufaulu mbaya Wilayani humo katika shule za msingi na sekondari.

“Ni aibu sana Wilaya kama hii anayotoka Waziri Mkuu kuwa tunafanya vibaya ni wakati wa mabadiliko sasa kila mtu ajiangalie na kujitahimini kwani suala la elimu linamgusa kila mtu” amesema Mkirikiti.

Naye Afisa Elimu Msingi wa Wilaya ya Ruangwa Selemani Mrope amesema wako tayari kufanyia kazi maelekezo yaliyotolewa na mkuu huyo wa mkoa ili kubadilisha hali ya ufaulu wa wanafunzi

“Katika kuhakikisha tunafanikiwa Idara ya elimu msingi itafanya msawazo wa walimu kutokana na mahitaji yaliyopo katika baadhi ya shule, na tutawafuatilia mashuleni ili kuangalia maandalio wanayoyaandaa kama wanayafuata.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa