• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WAZAZI TOENI USHIRIKIANO MASHULENI - DC KOMBA.

Posted on: December 12th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi amewataka wazazi na walezi mkoani lindi kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa walimu wa kuzuia utoro kwa wanafunzi ili waweze kusoma na kuyafikia malengo yao.



Komba ameyasema hayo Disemba 12, 2022 katika viwanja vya CWT wilayani ruangwa mkoani Lindi alipomuwakilisha mkuu wa mkoa huo katika Maaadhimisho ya Siku ya Mwalimu wa Darasa la Kwanza yaliojikita kuhimiza na kusisitiza umuhimu wa walimu hao katika kusaidia kukuza stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu kwa wanafunzi.


" wazazi nanwalezi shirikianeni na walimu hawa ili muweze kuwa na nguvu ya pamoja katika kutokomeza utoro ili kuwasaidia watoto wapate elimu kwa wakati stahiki" alisema komba.


Aidha katika hatua hiyo Mh. Komba ameahidi kuendelea kusimamamia maagizo ya serikali katika kuhakikisha huduma za chakula shuleni zinatekelezwa kwa kuwafikia wanafunzi ili wawe na hali nzuri ya kiafya itakayowasaidia kuwa na utayari mkubwa wa kuingiza maarifa.


Kwa upandewa baadhi ya walimu wa Darasala la kwanza waliojitokeza katika maadhimisho hayo wakiwamo mwalimu Emercia Fusi wa shule ya msingi msinjahili manispaa ya lindi na mwalimu Filemon Mponda wa Chimbila B wilaya Ruangwa, wamesema maadhimisho hayo yamekua yakiwasaidia kupata mbinu mpya za kufaragua zana mbali mbali za lufubdishia na kujifunzia na kubainisha kuwa huwasaidia pia katika kupata moyo zaidi na kuongeza bidii ya ufundishaji wa madarasa yao.


" maadhimisho haya yananisaidia sana kupata ubunifu mpya wa namna ya uundaji wa zana zaidi za kujifunzia kwa wanafunzi hivyo ni mazuri nayapenda sana" alisema Mwl. Mponda wa Chimbila B.



Awali akitoa tarifa kaimu afisa Elimu mkoa wa Lindi Mwalimu Hatibu Tuki, ameeleza mpango wa Mkoa huo kuwa ni kuhakikisha wanafunzi wote walioandikishwa wanaweza kusoma kuandika nankuhesabu.


Mkoa wa lindi ni miongoni mwa mikoa inayoengeza ufaulu wake kwa kasi katika matokeo ya darasa la nne, la saba, kidato cha pili kidato cha nne na kidato cha sita ambapo kwa mujibu wa taarifa ya matokeo ya darasa la saba mwaka 2022 mkoa umeongeza ufaulu kwa kufaulisha asilimia 93.07%.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa