• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WAZAZI MSIWAKATAZE WATOTO KUONESHA NA KUKUZA VIPAJI VYAO

Posted on: July 8th, 2024

Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Mbekenyera iliyopo Kata ya Mbekenyera wilayani Ruangwa Answabu Abdallah Maloi (13) ametoa wito kwa wazazi na walezi kutowakataza watoto wao kuonesha na kukuza vipaji vyao kikubwa ni kuzingatia usalama wao.


" Watoto tuna vipaji vingi lakini kuna wakati wazazi/ walezi wanatukatisha tamaa na kutufanya vipaji vyetu tusivioneshe kabisa, hivyo basi niwaombe wazazi pindi mnapogundua watoto wenu tuna kitu/ kipaji fulani msituzuie kukionesha na kukikuza pia kwasababu kipaji hicho inaweza ikawa njia ya mafanikio yetu, na watoto tukifanikiwa na nyinyi wazazi mnafanikiwa, kikubwa zingatieni usalama wetu na kukiamini kile tunachokifanya" amesema Answabu


Ameyasema hayo leo Julai 8, 2024 kupitia Redio Jamii, Ruangwa Fm katika kipindi cha "Bodaboda" kinachoongozwa na Mtangazaji Adelina Kaspari.


Mwanafunzi Answabu ameshiriki katika mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania 2024 (UMITASHUMTA) kupitia mchezo wa mpira wa miguu kuanzia ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa na amechaguliwa katika timu ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17.


Aidha, Answabu ameongeza kwa kusema kuwa mtu yeyote unapofanya jambo usilewe sifa unazopewa na watu wengine kwa mara ya kwanza kikubwa ni kuongeza juhudi ili wakusifie zaidi unavyofanya jambo kubwa na zuri kwako wewe mwenyewe na jamii kwa ujumla.


Kwa upande wake, Afisa Michezo Wilaya Ndugu Shaban Mchinama amewashukuru wazazi wa Answabu kwa kumruhusu mtoto wao kushiriki katika michezo na kutoa wito kwa wazazi wengine waige mfano huu kwani michezo ni afya, urafiki na ajira.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa