• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WASIOPITIA JESHI LA AKIBA WAONDOLEWE KAMPUNI ZA ULINZI - DC NGOMA

Posted on: November 2nd, 2022

Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Hassan Ngoma amemuagiza mkuu wa polisi wilayani humo kufanya ukaguzi wa kampuni zote zinazojihusisha na ulinzi ili kuhakiki kama askari wanaowatumia awamepitia mafunzo ya kijeshi ikiwamo Jeshi la akiba.

Hatua hiyo inakuja kufuatia wahitimu wa mafunzo ya jeshi la akiba 2022 wilayani humo kumueleza mkuu huyo kuwa miongoni mwa changamoto wanazokabiliana nazo kuwa ni ukosefu wa ajira mara baada ya kuhitimu mafunzo hayo.

Hassan Ngoma akiwa katika zoezi la ufungaji wa mafunzo ya jeshi la akiba wilayani Ruangwa, licha ya uwapo wa changamoto ya ajira kwa vijana hao wa jeshi la akiba wanapohitimu amemuagiza mkuu wa jeshi la polisi wilayani humo kufanya ukaguzi wa makampuni ya ulinzi kujua sifa za askari wanaowatumi ikiwa ni Pamoja na kujua stahiki wanazolipwa kama zinaendana na kazi wanazofanya.

“Kuanzia jumatatu kufanyike ukaguzi kwa kampuni zote za ulinzi za wilaya ya ruangwa na taarifa hiyo iletwe ofisini kwangu, watu wote walioajiriwa ambao hawajapita katika jeshi la akiba waondolewe kwenye kampuni hizo mara moja” alisema Ngoma.

Miongoni mwa wahitimu wa mafunzo ya jeshi la akiba mwaka 2022 wilayani Ruangwa wakiwamo Pendo Namakonje, Sadat Nyagali na Yelusalem Kubila wamesema ni furaha kwao kuiona serikali inawajali kwa kuchukua hatua Madhubuti kuona namna wanavayowapa fursa vijana wanaohiyimu jeshi la akiba.

“Wengi wameajiriwa lakini hawajapitia mafunzo ya jesho la akiba kwahiyo endapo tutajiriwa sisi tuliohitimu mafunzo haya itasaidia kututtia moyo Zaidi vijana kuwa na uzalendo waw engine kuvutiwa kujiunga na mafunzo ya jeshi hili”  alisema pendo Namakonje mmoja wa wahitimu mafunzo ya jeshi la akiba mwaka 2022 Ruangwa.

Wanafunzi walioanza mafunzo hayo wanatajwa kuwa 108 ambapo wanafunzi 18 walijiunga na jeshi la kujenga Taifa, 22 waliacha mafunzo kwa sababu mbali mbali na wanafunzi 68 ndio waliohitimu mafunzo hayo ya jeshi la akiba yaliendeshwa kwa muda wa wiki 16 sawa na miezi minne.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa