• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA RUANGWA WAAPISHWA

Posted on: November 23rd, 2024

Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa Vituo vya Kupigia Kura wilayani Ruangwa wameanza rasmi mafunzo yao kwa lengo la kuhakikisha uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 unafanyika kwa haki, amani, na utulivu, mafunzo hayo yamefunguliwa leo Novemba 23, 2024 na Msimamizi wa Uchaguzi ngazi ya Jimbo, Ndugu Frank Fabian Chonya, katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Nkowe, Tarafa ya Mnacho.


Akizungumza wakati wa ufunguzi, Ndugu Chonya amesisitiza umuhimu wa mafunzo hayo kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi, akiwataka kushiriki kwa umakini mkubwa, ameeleza kuwa mafunzo haya ni msingi wa kufanikisha uchaguzi wa haki na yanatoa fursa kwa washiriki kuuliza maswali ili kujenga uelewa wa kina kuhusu majukumu yao.


“Mnapaswa kuwa watii, wazalendo, na kufuata sheria na kanuni za kazi hii muhimu kwa Taifa, kiapo mlichokula kinapaswa kuwa mwongozo wenu mnapotekeleza majukumu haya,” amesema Ndugu Chonya, akiwakumbusha wahusika umuhimu wa uadilifu katika utekelezaji wa kazi hiyo.


Katika mafunzo hayo, Wasimamizi wameelekezwa taratibu mbalimbali za uchaguzi, ikiwemo usimamizi wa upigaji kura, kuhesabu kura, na kutangaza matokeo. Pia, mifano ya karatasi za kupigia kura na fomu za matokeo zilifanyiwa kazi kwa vitendo, huku washiriki wakishiriki majadiliano ya pamoja ili kuboresha uelewa wa mchakato mzima.


Aidha, Ndugu Chonya ametoa barua za uteuzi kwa Wasimamizi na Wasimamizi Wasaidizi wa vituo vya kupigia kura, hatua inayowapa mamlaka rasmi ya kutekeleza majukumu yao ifikapo Jumatano, Novemba 27.


Kwa kumalizia, amewahimiza washiriki wa mafunzo hayo kutanguliza uzalendo na kuzingatia taratibu ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa amani na kuleta matokeo yenye tija kwa jamii ya Ruangwa.

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa