• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Wananchi wa ruangwa wanufaika na bilioni 6.6 kutoka serikali kuu

Posted on: November 12th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa imefungua rasmi ghala la kuhifadhia mazao ya biashara lililopo kata ya Ruangwa katika kijiji cha lipande

Ghala hili lenye thamani ya shilingi Bilioni 6.6 fedha iliyotoka Serikali kuu kwa ajili ya uendeshaji wa miradi ya mkakati limeanza kutumika leo tarehe 12/11/2019.

Wakati wa uingizaji wa korosho katika ghala hili Mkuu wa Wilaya Hashim Mgandilwa aliwataka viongozi wa Ushirika kuhakikisha wakulima wanachambua korosho zao kabla ya kufika katika ghala

Mhe. Mgandwila ametoa kauli hiyo kutokana na kugundulika kuwepo na korosho ndogondogo zisizo na ubora zinazopelekwa ghalani.

“Ghala letu ndiyo linaanza tusijiharibie kwa kupata sifa mbaya ya kuwa korosho zisizo na ubora kuhakikisha hili inatakiwa tujikague wenyewe mapema kabla korosho hazijafika katika vyama vya ushirika” alisema Mgandilwa

Aidha Mhe Mgandilwa aliwataka wakulima kupanda miche ya mikorosho mipya ili kuepukana na kupata korosho ndogo ambazo zinapatikana kutoka katika miti ya zamani.

“Hili jambo linawezekana kuwa historia Ruangwa kinachotakiwa wakulima kupanda miche mipya kwa wingi ili kupata korosho zilizobora na hili linawezekana wanaruangwa msiniangushe” alisema Mgandwila

Vile vile amewataka vijana wanaotaka kubeba magunia ya korosho katika ghala kujisajili kwa kufuata matakwa ya kisheria  ili waweze kupata kazi hizo

“vijana wa Ruangwa huu ni wakati wenu wa kupata ajira hapa ghalani waoneni watu wa ushirika wawasaidie nini mfanye  ili msajiliwe kama ushirika maalumu cha kubeba mizigo” Mgandilwa

Ghala moja lenye uwezo wa kubeba tani 10000 kati ya mawili yaliyojengwa limeanza kufanya  kazi kwa kuhifadhia korosho na ujenzi unaendelea katika hatua za ukamilishaji wa majengo yote na  Korosho zilizopo katika ghala hilo zinatapigwa mnada siku ya jumapili Novemba 17/2019 Ofisi ya Ruangwa AMCOS.



MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa