• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

WAKULIMA RUNALI WAKUBALI KUUZA KOROSHO ZAO

Posted on: October 30th, 2022

Wakulima wa korosho wilaya za Ruangwa, Nachingwea na Liwale, mkoani Lindi wanaohudumiwa na chama kikuu cha RUNALI wamekubali kuuza korosho zao katika mnada uliofanyika katika ghala la Lipande wilayani Ruangwa mkoani humo Oktoba 30,2022 kwa bei juu ya shilingi 1,855/= na bei ya chini shilingi 1,810/= kwa kilo moja.

Licha ya kuwapo kwa migomo ya wakulima kutoka katika baadhi ya vyama vilivoanza katika uuzaji wa zao la korosho msimu wa mwaka 2022/23, kwa kueleleza kuwa bei ya ununuzi ni ndogo katika mikoa ya Lindi na Mtwara wakulima  wanaohudumiwa na chama kikuu RUNALI kwao imekua tofauti katika mnada wao wa kwanza wameridhia kuuza korosho zao na kubainisha kuwa wanauhitaji wa pesa ili ifanye maendeleo waliojipangia.

Wakizungumza baada yam nada huo mmoja ya wakulima wa zao hilo wilayani Ruangwa Mwanaidi Chimbunga alisemawamridhika na bei kutoka na kukaa kwa muda mrefu na ukali Maisha hivyo kuuzwa kwa mazao yao kutasaidia kupunguza changamoto zinazowakabili kutokana na ukata wa fedha.

“Mimi nimeridhika na hizi bei kwa sababu tumekaa muda mrefu na ukali wa Maisha, mimi kama mama nina Watoto wanasoma nilishindwa kuwapeleka shuleni kwahiyo kama imetokea hii fursa ya mnunuzi kununua zao langu binafsi nashukuru sana,” alisema Mwanaidi

Awali mkurugenzi mkuu wa Bodi ya korosho Tanzania Francis Alfred aliwaeleza wakulima sababu zinazopelekea kushuka kwa bei ya zao la korosho msimu huu kwa kubainisha kuwa sababu kuu ni wanunuzi wakuu kuwa na kiasi kikubwa cha korosho za mwaka uliopita, huku mwenyekiti wa chama kikuu RUNALI, Odas Mpunga akibainisha Zaidi madhara ya korosho hizo kama zinageendelea kubaki katika maghala kuwa zitazidi kunyauka na kupungua ubora hivyo wakulima wanaweza kupata hasara Zaidi kama wasingeridhia kuziuza kwa wakati.

“Korosho zinapoendelea kukaa ghalani zinanyauka na hivyo zinapungua uzito n ahata ubora wake kwahiyo kama wakulima watakua na migomo ya kuuza ni hasara kwao n ahata kwa vyama vya ushirika kwa maana zao litazidi kukosa soko kwa kupungua Zaidi ubora kutokana na kukaa” alisema Mpunga mabae ni Mwenyekiti wa chama kikuu RUNALI.

Jumla ya tani 6,000 zimenunuliwa kutoka wilaya za Liwale Ruangwa na Nachingwea ambapo wakulima waliowasilisha mazao yao ghalani watalipwa stahiki zao ndani ya siku kumi baada ya mnada huo kufanyika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa