• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

VIONGOZI NA WANANCHI RUANGWA WATOA MAONI YAO KUHUSU MRADI WA KUBORESHA HUDUMA ZA MAJI VIJIJINI

Posted on: May 21st, 2024

Viongozi na wananchi wa Wilaya ya Ruangwa wametoa maoni yao kuhusu Mradi wa kuboresha upatikanaji wa huduma za maji vijijini kwa ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi.


Maoni hayo yametolewa katika Warsha iliyofanyika leo Mei 21, 2024 katika Ukumbi wa mikutano wa Mkuu wa Wilaya, hii ni kufuatia mpango mkakati wa Wizara ya Maji kuona umuhimu wa kuboresha huduma ya maji na usafi wa Mazingira vijijini.


Serikali kupitia Wizara ya Maji ina lengo ifikapo 2025 wananchi vijijini wawe wamepatiwa huduma ya maji kwa asilimia 85 na ifikapo 2030 iwe imefikia asilimia 100 na ili kufikia lengo hilo ni muhimu kushirikisha Sekta binafsi kwa kuzingatia maslahi ya wananchi vijijini na si mwekezaji pekee ili kuondoa sintofahamu.


Utekelezaji wa Mradi huu umeshirikisha Mikoa Mitano ya Kanda ya Mashariki ambayo ni Lindi, Mtwara, Pwani, Dar es salaam na Morogoro na kwa Mkoa wa Lindi Wilaya zilizopendekezwa na Serikali kukusanya maoni ya wananchi kuhusu mradi wa kuboresha huduma za maji vijijini ni Wilaya ya Lindi, Kilwa na Ruangwa.


Kwa upande wake Mratibu wa Vyombo vya utoaji huduma ya maji ngazi ya jamii Mkoa wa Lindi Ndugu Rogers Baijuki amewashukuru viongozi na wananchi wa Wilaya ya Ruangwa kwa utoaji wa maoni kuhusu mradi husika halikadhalika amewaomba kutoa ushirikiano kwa Kampuni ya Disney International ambayo itakuja kufanya upembuzi yakinifu ili kujiridhisha kwa kina namna bora ya ufanyaji wa mradi bila kuleta changamoto kwa Serikali, wawekezaji na mamlaka zilizopewa jukumu la kusimamia mradi huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa