• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Ushirikiano kupunguza ukatili wa kijinsia Ruangwa

Posted on: April 2nd, 2019

Jamii imeshauriwa kushirikiana kwa umoja wao ili kupunguza tatizo la ukatili wa kijinsia katika jamii ya wananchi wa Ruangwa

Ushauri huo umetolewa mwenyekiti wa kijiji cha Mtondo Bakari Nanyambo kilichopo kata ya Nambilanje wakati wa mdahalo wa wanakijiji   kuhusu mila na desturi zinazopelekea madhara katika kijiji cha Mtondo leo 02/04/2019 unaoendeshwa na Chama cha Wanahabari wanawake Tanzania (TAMWA)

Alisema Mwenyekiti kuwa watoto wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa kiwango cha juu na kesi nyingi haziendi mbele sababu nyingi humalizwa kifamilia jambo ambalo si sawa kwani mtoto  anakuwa ameshaharibiwa.

“Mtoto akishazoeshwa michezo ya ukatili wa kingono tunazalisha kizazi kisichoeleweka na ukifuatilia chanzo cha tatizo ni mazingira mabovu ya nyumbani, hivyo tusipounganisha nguvu zetu pamoja kizazi chetu kwa asilimia kubwa kitakuwa kisicho na elimu ni jukumu letu kuhakikisha hili linadhibitiwa mapema kabla ya kuleta athari kubwa kwa jamii.”Alisema Nanyambo

Hata hivyo alisema kuwa ukatili wa kijinsia huanzia kwa asilimia kubwa katika malezi kwani kuna watoto ambao hufanyiwa ukatili wanashindwa kuwashirikisha wazazi na hata wanapowashirikisha wazazi wanaona aibu kupeleka kesi katika ofisi ya serikali ya kijiji hivyo kupelekea tatizo kuwa kubwa na kumuathiri mtoto.

“Lazima tuweke utaratibu wa kutoa elimu ya makuzi ya vijana na ndio maana shuleni tumeweka walimu wanaoshughulikia matatizo ya watoto wa kike na kiume na kutenga sehemu maalum kwa ajili ya watoto wa kike kujistiri na yote yanafanyika ili kupambana na ukatili wa kijinsia nchini.”Alisisitiza Nanyambo

Kwa upande wake mkazi wa Mtondo Hamisi Mbinga Unyago amesema chanzo kikibwa ni kuwa kuendekeza mila ambazo ni zakizamani hivyo ameiomba serikali kuweka sheria ya umri wa mtoto  kuchezwa unyago ili kumaliza tatizo la mimba za utotoni na watoto hasa wa kike kuacha masomo njiani.

Pia aliwaomba wanaume wenzie kuacha kutelekeza wanawake walioza nao  inasababisha watoto kuishi maisha ya shida yanayopelekea mtoto huyo kukosa haki yake ya kupata elimu na malezi bora ya baba na mama na hili si kwa kinababa tu hata kinamama mnaowakuta watoto wa mume zenu usiwanyanyase hao watoto wapeni malezi bora ili tutokomeze suala la ukatili wa kijinsia kwa watoto.

Pia aliuomba uongozi wa serikali ya kijiji kuendelea kuwapa mafunzo kama haya yanayotolewa na TAMWA kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kujua athari ya vitu wanavyovifanya inavyowaathiri sana watoto wakike kwani walikuwa hawajui hata kama kilimo cha kuhamahama kinaweza kuwa na madhara kwa watoto wao.

(MWISHO)








Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa