• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

tungeni sheria ndogo kwa ajili ya kuwabana wakulima wanaofanya kilimo cha kuhamahama

Posted on: April 29th, 2019

Baraza la waheshimiwa madiwani Wilayani Ruangwa limeitaka Halmashauri hiyo kuunda sheria ndogo zinazowabana wakulima wanaofanya kilimo cha kuhamahama.

Pia wamewataka viongozi wa dini kuendelea kutoa elimu za ndoa ili kuepusha talaka ambazo zinasababisha familia kusambaratika na watoto kukosa haki zao za msingi.

Hayo wameyasema wakati majadiliano ya kimkakati juu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto yaliyofanyika ukumbi wa Rutesco Ruangwa mjini leo tarehe 29/2019 yaliyoendeshwa na Chama cha Wanahabari wanawake Tanzania (TAMWA).

Naye Makumu Mwenyekiti wa Halmashauri  Mhe Shabani kambona alikiri kuwepo kwa matendo ya ukatili na unyanyasaji kwa watoto wa kike.

Aidha alisema kumekuwa na tabia za watoto wa kike kutumia njia za uzazi wa mpango ilihali ni wanafunzi hali hii inasababisha kuongezeka kwa vitendo ngono kwa watoto.

Naye Meneja wa Ufuatiliaji na Tathimini bwana John Ambros alipata fursa ya

kuuelezea mradi mbele ya Madiwani , wakuu wa Idara na wadau wengine.

Pia alishukuru kwa ushirikiano tulioupata kutoka Halmashaur ya Wilaya ya Ruangwa kwani wameweza kutimiza malengo ya mradi huo.

Meneja Ambrose amesema mradi tuliofanya tunatamani uendele kusisitizwa huko vijijini nyie ni watu wa karibu sana na jamii mkatusaidie kusisitizi kupinga mila na desturi zenye kusababisha madhara katika jamii

Aidha Kwa ujumla wake mradi umebainisha changamoto za uwepo wa mila potofu kwa jamii zinazosababisha matendo ya kikatili kwa wanawake na watoto kama vile vipigo,ndoa za utotoni,ulawiti na ubakaji, na watoto kupelekwa kwenye jando na unyago katika umri mdogo

MWISHO









ISERT


AMBROSI

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa