• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Ded Tumieni vifaa mlivyopatiwa kwa uadilifu

Posted on: February 8th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ndg, Frank Fabian Chonya amegawa baiskeli, fimbo za wasioona na jozi kwa watu wenye ulemavu Ruangwa na  amewataka vifaa hivyo vitumike vizuri kwa watu wenye walemavu

Ndugu Chonya Amegawa vifaa hivyo  tarehe 08/02/2021 katika makao makuu ya ofisi ya Halmashauri mjini Ruangwa.

  "Aliendelea kusema nikikuta baiskeli hizi zinatumika na mtu asiyesitahiki nitamnyang'anya na kumpa mtu mwenye uhitaji maan huwezi kupewa wewe baiskeli alafu ukampa mtu asiyenauhitaji" amesema Chonya

  • Vile vile alisema ndugu Chonya kuanzia mwaka huu wa fedha Halmashauri itaanza kutoa mikopo kwa walemavu na kwa  mtu mmoja mmoja na si kwa vikundi kama ilivyokuwa awali.

Aliendelea kusema  uongozi wa Halmashauri katika kusimamia mikopo hiyo haipotei itatoa wataalamu wa kumsimamia na kumsaidia kukuza biashara yake mnufaika wa mikopo.

Naye Diwani wa kata ya Nkonwe aliwataka watu wenye ulemavu kutumia vifaa hivyo katika kujiongezea kipato ili kuboresha maisha yao

Pia amewaomba kutumia fursa ya mikopo itakayotolewa ya mtu mmoja mmoja na kuitumia katika uzalishaji wa kila siku.

Naye Rehema Mitachi mnufaika wa vifaa vilivyogaiwa aliushukuru uongozi wa Halmashauri kwa kuona haja ya kuwagawia mikopo hiyo.

Aliendelea kusema anaomba  mikopo hiyo itakapotolewa kila mnufaika atakaepokea pesa basi azifanyie biashara na arudishe mkopo huo ili na wanufaika wengine waweze kukopa.

Msaada wa vifaa hivyo umetolewa na Kampuni ya Sigara Tanzania  imetoa baiskeli 28, magongo jozi 50 na  fimbo za wasioona 100. 


MWISHO



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 04, 2025
  • WANAFUNZI RUANGWA WAIBUKA KIDEDEA USAFI NA UNADHIFU UMISSETA 2025 MKOA WA LINDI

    June 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA NISHATI SAFI WANDORWA

    May 28, 2025
  • RUANGWA YAPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 KUTOKA LINDI MANISPAA

    May 28, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa