• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tumieni mafunzo katika kujikwamua kiuchumi

Posted on: May 18th, 2022

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Mhe. Andrea Chikongwe amewataka washiriki wa mafunzo ya ufugaji kuku na samaki kutumia mafunzo hayo vizuri ili yawasaidie  katika kujiendeleza kiuchumi.

Mhe. Chikongwe amesema hayo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya  ufugaji kuku na samaki ambayo yameratibiwa na chuo cha Ufundi stadi (VETA)  kanda ya Ruangwa ambayo yanaendelea katika kata ya Nandagala

Mheshimiwa Chikongwe alisema anategemea washiriki wote wa mafunzo hayo watatoka na vitu tofauti hivyo kwenda kuwasaidia watu wengine ambao hawajapata nafasi ya kushiriki.

"Nina imani mtatoka kivingine kabisa mtatoka hapa akili imebeba mambo mazuri tu kwani bahati mmeipata nyie zingatieni sana mnayofundishwa" amesema Mhe. Chikongwe.

Mhe. Chikongwe amebainisha kuwa wananchi wa Ruangwa wanapaswa kuitumia vema fursa hiyo ambayo maeneo mengine inapatikana kwa malipo na ni wajibu wa kila mmoja kuhakikisha mafunzo hayo yanakuwa na tija kwenye maisha yake.

"Pia Niwashukuru watu wa veta kuandaa mafunzo haya kwani ingewezekana mafunzo haya kupelekwa maeneo mengine ila yameletwa Nandagala na hakika wanaruangwa watanufaika na ujuzi huu" Amesema Mhe. Chikongwe.

Kwa upande wake kaimu Mkuu wa Chuo hicho Mohammed Salim alisema kuwa wananchi wa Ruangwa  wamepata bahati ya kupatiwa mafunzo hayo hivyo wanapaswa kuhakikisha wanayatumia kubadili mfumo wa ufanyaji wa shughuli zao.

Ndg, Salim ameongeza kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo wajasiliamali wa Ruangwa na chuo chake kitahakikisha kinawafikia walengwa wote katika wilaya hiyo.

Vile vile alitoa Rai kwa  wananchi wa Ruangwa kukimbilia fursa ya kusoma katika chuo cha VETA ambacho kinategemea kuanza mafunzo rasmi tarehe 01/06/2022  huku kikitarajiwa  kutoa kozi tano ambazo ni ufundi ujenzi, ufundi selemala, ufundi magari, ufundi wa umeme majumbani na ushonaji na  kozi hizo zote zitakuwa za muda mrefu na muda mfupi.

Naye mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo Bi. Asheri Nachinuku alishukuru uongozi wa chuo cha VETA  Nandagala kwa kuona umuhimu wa kuwapatia mafunzo ya ufugaji kuku na samaki na kuahidi kuyatumia mafunzo hayo katika kujikwamua kiuchumi.

Mafunzo hayo yaliyoratibiwa na VETA yanafanyika kwa muda wa siku 5 kuanzia Mei 17 hadi 21 mwaka huu.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa