• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tujitokeze kwa wingi katika kuchangia damu kwa hiari-Mhe Nakumbiya

Posted on: February 26th, 2020

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa Mhe Rashid Nakumbiya amebainisha upungufu wa damu ya kuhifadhi katika Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa

Kauli hii imetoka leo tarehe 26/02/2020 wakati waheshimiwa madiwani wakichangia damu kwa hiari katika hospitali ya Wilaya iliyopo Ruangwa mjini.

Mheshimiwa Nakumbya ametoa wito kwa wananchi wa Ruangwa kujitokeza kwa wingi katika zoezi hili la uchangiaji damu kwa hiari katika hospitali ya Wilaya, vituo vya Afya zahanati na popote panapofanyika huduma hiyo


“ uhitaji  wa damu katika hospitali yetu ni mkubwa wananchi jitoeni  kuchangia damu na mchukulie suala hili kama suala linalomgusa kila mtu  ili kumaliza tatizo hili la upungufu wa damu” Nakumbiya

Alisema Mheshimiwa Nakumbiya kwa uzito wa jambo hili waheshimiwa madiwani ambao hawajabahatika kufika na kutoa damu leo, siku ya baraza la madiwani tarehe 5-6/03/2020 watapata nafasi ya kutoa damu kwa hiari.


Vilevile Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma za Jamii, Diwani wa kata ya Nandagala Mhe Andrea Chikongwe amewataka waheshimiwa madiwani kutumia mikutano yao ya hadhara kuhamasisha wananchi kuchagia damu.

Pia Mhe Chikongwe amewataka wananchi wa Ruangwa kuwa wazalendo katika kushughulikia changamoto za Wilayani humo kwasababu changamoto hizo zinawagusa moja kwa moja


“Tusikae tukisubiri kuletewa damu kutoka nje ya Wilaya changamoto hii ni ndogo sana inaweza kumalizwa na wanaruangwa sisi wenyewe tujitokeze kwa wingi ili kuwe na damu ya kuhifadhi kwa wingi na itasidia hata mtu unapopata mgonjwa itasaidia kupata damu kwa uharaka”Chikongwe

Naye Mratibu wa damu salama wa Wilaya Alex Habron alisema zoezi la uchangiaji damu salama halina madhara yoyote kwa mchangiaji hivyo watu wajitokeze kwa wingi katika kuchangia damu

Aidha alisema zoezi liliofanyika leo limefika asilimia 50  na ni zoezi endelevu wananchi wasiogope kwani kutoa damu hakuna gharama yoyote anayoitoa mchangiaji ili kutoa damu hiyo.

“Mtu mmoja akichangia damu anakuwa amekoa maisha ya wagonjwa ambao wanauhitaji wa damu naomba wananchi wajitokeze kwa wingi zoezi halina masharti magumu na hakuna mtu atatoa damu bila kupimwa kama anasitahiki kutoa damu hiyo mjitokeze kwa wingi.

Mratibu Alex alisema zoezi hili ni endelevu na ndiyo limeanza litafika mpaka vijijini ila kwasasa wananchi wajitokeze kwa wingi katika hospitali ya Wilaya ili kufanikisha malengo ya kuwa damu kwa wingi katika wilaya ya Ruangwa.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa