• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tengeni 10% ya mapato kabla ya matumizi.RC Zambi

Posted on: July 20th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Lindi  Godfrey Zambi ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kutenga asilimia kumi ya kila mapato yake kabla ya matumizi kwa ajili ya kuwakopesha wanawake na vijana.


Aliyasema hayo wakati wa kikao cha baraza maalum la waheshimiwa madiwani kwa ajili ya kujadili hoja za Halmashauri ya Ruangwa zilizojitokeza wakati wa ukaguzi uliofanywa na ofisi ya Mkaguzi na Mdhibiti wa fedha za Serikali kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Rutesco Ruangwa mjini.


“Siyo kwamba hampati hizo fedha mnazipata ila amzipi kipaumbele asilimia10 mnazotakiwa mpeleke kwenye mfuko wa vijana na wanawake mkipata hela hata kama milioni 100 tengeni hela ya kurudisha kwenye mfuko wa vijana na wanawake kabla amjaanza matumizi mengine" amesema Mkuu wa Mkoa.


"Hili jambo la kutopeleka fedha kwenye huu mfuko linataka kuonekana kama ni suala la kawaida sasa bajeti ya mwakani ikija na mapungufu ya kupeleka asilimia 10 katika mfuko wa vijana na wanawake sitoipokea na kuipeleka kwenye kamati ya bunge" alitilia mkazo Mkuu wa Mkoa.


Aidha aliwataka waheshimiwa madiwani kusimamia na kuhakikisha fedha hizi zinapatikana na kuwafikia walengwa ambao  ni wanawake na vijana ili waweze kujiajiri na kujiongezea kipato  chao.


"Hao wanaotakiwa kurudishiwa hizo fedha ni wapiga kura wenu sasa msipowasimamia wakapata wanachostahili kupata mnakuwa amuwatendei haki simamieni hili suala liishe kwani ndiyo linaloleta hoja nyingi kila mwaka" amesema Zambi.


Hata hivyo alimtaka Mkurugenzi kuwa makini na vikundi vinavyoomba hiyo mikopo kwasababu kuna vikundi ambavyo havitambuliki  na kukosa mpango mkakati endelevu wa mradi wao na kuona kama una faida sababu fedha hizo zitatakiwa kurejeshwa.


“ Mkurugenzi unapaswa kufuatilia fedha unazopeleka kwenye vikundi zinatumikaje ni wajibu wako kupeleka fedha na kuzifuatilia zifuatilie na zisimamie kwa kushirikiana na wataalam wengine wasaidieni vikundi hadi zitoe faida.”Alisisitiza Mkuu wa Mkoa Zambi.


Hata hivyo  aliwapongeza Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kwa kupata hati safi katika ukaguzi huo na kuwataka watendaji kuendelea kutimiza majukumu yao ya kila siku ili kupunguza hoja ambazo nyingi siyo nzito na uwezo wa kufanya hivyo sababu halmashauri hiyo ina viongozi na watendaji wachapakazi.


Baraza maalum la kupitia hoja za ukaguzi wa hesabu kwa  mwaka  2016/2017 lilifanyika hivi karibuni na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa, wageni kutoka ofisi Ras ,Waheshimiwa madiwani na watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa