• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Spika wa Baraza la wawakilishi Zanzibar ameahidi kufikisha salam za Ruangwa kwa Mkiti wa CCM Taifa.

Posted on: February 6th, 2023

Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar ambae pia ni mlezi wa chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Lindi, Mhe. Zuberi Ali Maulid, ameahidi kufikisha salamu za uhitaji wa vifaa tiba katika jengo la wodi ya wanaume na wanawake lililojengwa katika kituo cha Afya kata ya Nandagala wilayani Ruangwa mkoani Lindi.

Hatua hiyo inakuja kufuatia kufanya ziara ya kutembelea katika kituo hicho mapema Februari 6 Mwaka huu na kukagua mradi wa ujenzi wa wodi hizo zilizokamilika ambapo zinatajwa kutoanza kutumika kutokana na ukosefu wa vifaa tiba.

Mhe. Zuberi amepongeza juhudi kubwa ya serikali iliyofanywa katika kuboresha miundombinu na kubainisha kuwa hayo ni kwa mujibu wa ilani na kuwaeleza wananchi kwamba waendelee kuimani serikali iliyo madarakani na chama chake kwakua wanatekeleza waliyoahidi katika kuwapatia wananchi maendeleo.

“Naamini hata ninyi mnaona kasi ya maendeleo na uboreshaji wa miundombinu inayotokana na Imani mlioipa serikali inayoongozwa na chama cha mapinduzi, muendelee na moyo huo nasisi tutaendelea kuhakikisha ilani inatekelezwa ili kutimiza adhma ya kuwapatia maendeleo wananchi” alisema Mhe. Zuberi

Awali mwenyekiti wa chama cha mapinduzi wilaya ya Ruangwa Ndg,Ibrahim Ndolo, alipokua anatoa salamu za pongezi kwa uongozi wa chama hicho Taifa alieleza Pamoja na mambo mazuri yanayotekelezwa na ilani lakini ameomba kusaidiwa vifaa tiba kwa ajili ya kuifanya wodi hiyo mpya iliyojengwa iweze kutumika.

“umeona mafedha yameletwa hapa matumaini yetu wana ruangwa majengo haya yatumike, tumekosa vifaa tiba, sasa hili ndilo ninalokukabidhi mimi tena nina kupigia magoti hapa, fanya uwezavyo utusaidie vifaa tiba ili majengo haya yaweze kutumika” alisema ndolo huku akiwa amepiga magoti mbele ya Mhe. Zuberi ambae ni spika wa baraza la wawakilishi Zanzibar.


Katika hatua nyingine Mhe. Zuberi ametembelea shule ya sekondari ya wasichana Ruangwa ambayo imefunguliwa hivi punde na kusifu miundombinu iliyojengwa shuleni hapo huku akiwasiki wanafunzi walioanza kusoma katika shule hiyo kuwa na bidii.

Mhe. Zuberi yupo katika ziara ya kikazi mkoani Lindi akiwa kama Mlezi wa chama cha Mapinduzi ambapo amekua akipita katika wilaya za mkoa wa Lindi kukagua miradi ya maendeleo kuona namna ilani ya chama kilichopo madarakani inavyotekelezwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA KATIBU MAHSUSI NA MTENDAJI WA KIJIJI June 26, 2022
  • Tangazo la uuzaji mahindi ya bei rahisi March 19, 2020
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI 23/ 08/2022 May 31, 2022
  • TANGAZO LA KUTAFUTA FUNDI UJENZI SHULE YA MPYA YA SEKONDARI KITANDI September 24, 2021
  • Ona zote

Habari mpya

  • SHULE YA MSINGI LIKUNJA KUJENGWA MADARASA 5 NA OFISI 2 ZA WALIMU.

    March 21, 2023
  • DC RUANGWA ASISITIZA UKUSANYAJI MAPATO

    March 01, 2023
  • NIMEFURAHISHWA NA MIRADI YA KIMAENDELEO - MAJALIWA

    February 22, 2023
  • SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA WANANCHI-MAJALIWA

    February 21, 2023
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa