• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

SONGWE KUJIFUNZA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI RUANGWA

Posted on: November 15th, 2022

Uongozi wa Halmashauri ya wilaya ya Songwe, wametembelea katika wilaya za Nachingwea na Ruangwa mkoani Lindi kwa ajili ya kujifunza shughuli za uendeshaji wa maghala ya kuhifadhi mazao ya biashara korosho na ufuta sambamba na kujifunza kuhusu mfumo wa uuzaji kupitia stakabadhi mazao ghalani ambao umekua ukinufaisha kwa kukizipatia mapato Halmashauri zinazotumia mfumo huo.

Hatua hiyo inakuja kufuatia Halmashauri ya songwe kutaka kuanza kutumia mfumo wa mauzo mazao stakabadhi ghalani katika mazao ya ufuta na korosho ambazo wameanza kuzalisha na kuachana na utaratibu wa uuzaji holela ambao unawanyima mapato Halmashauri n ahata wakulima kutonufaika kutokana na uuzaji holela.

Akiwa katika ghala la lipande wilayani Ruangwa Novemba 15,2022 linalotumika kuhifadhia mazao Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songwe Cecilia Kavishe, aliesema lengo la ziara yao ni kujifunza kuhusu mfumo wa stakabadhi ghalani kwa madiwani na wataalamu wa halamashauri ya Songwe ambapo hivi karibuni wanategemea kwenda kuanza kuutumia mfumo huo, huku Afisa kilimo wilaya ya Songwe Mfilinge Abdulkadiri akieleza kupata suluhisho la matatizo baada ya kujifunza uendeshaji wa mfumo huo na kuona utakavyosaidia kutatua changamoto za soko kwa wakulima.

“Tumewaleta madiwani na wataalam wajifunze kuhuus namna ya kuendesha ghala lakini pia kujifunza kuhusu mfumo huu wa stakabadhi ghalani” alisema mkurugenzi wa Songwe


Awali walipotembele katika ghala la Lipande wilayani Ruangwa wakapata maelekezo ya maana ya Stakabadhi Ghalani kutoka kwa meneja wa ghala hilo Asha Ramadhani, huku Afisa kilimo wa wilaya ya Ruangwa Nolasco kilumile akibainisha faida wanazopata Halmashauri ikiwa ni Pamoja na kutoza faini pale mnunuzi anaposhindwa kutoa mzigo kwa wakati ghalani baada ya kuununua.

Inakadiriwa Mapato yanayotokana na ghala katika kipindi cha msimu wa mauzo ya mazao katika ghala la lipande Ruangwa ni Zaidi ya milioni 70  kwa kila tani 1500 zinazouzwa kutoka ghala hilo ambapo fedha hizo uingia kama sehemu ya mapato ya Halmashauri.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa