• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

SERIKALI YAMALIZA MIGOGORO YA ARDHI KIJIJI CHA NAMKATILA WILAYANI RUANGWA

Posted on: March 13th, 2024

Serikali kupitia Tume ya Mpango na matumizi bora ya Ardhi sambamba na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imemaliza migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji leo Machi 13, 2024 walivyofanya ziara ya ukaguzi wa mpango wa matumizi bora ya ardhi katika kijiji cha Namkatila Kata ya Matambalale Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi ambapo Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Timotheo Mzava amewataka wananchi kusimamia mipango na sheria ndogondogo zilizoundwa kijijini hapo ili kuleta tija na kuepusha migogoro ya ardhi hivyo wanakijiji hao wameunda sheria ndogondogo kama vile, Kijiji cha Namkatila ni kwa ajili ya wakulima tu na sio wafugaji na Mita 60 kutoka kwenye Mto Mbwemkuru mwananchi yeyote haruhusiwi kumiliki ili kila mmoja aweze kunufaika na eneo hilo.


Ziara hiyo pia imehusisha kugawa hati miliki za kimila 734, hati miliki ya Ardhi ya kijiji, daftari la ardhi ya kijiji, pamoja na ripoti ya mpango wa matumizi bora ya ardhi.


Katika hatua nyingine, Naibu Waziri wa Ardhi Ndugu Geophrey Mizengo Pinda amewataka wakulima kutumia hekima kutatua migogoro ya ardhi katika jamii na baraza la ardhi la Kata litumike kutoa elimu kwa jamii kuhusu ardhi.


"Na katika ugawaji wa ardhi kusifanyike janja janja yeyote kila mmoja apate haki yake kwa kupata sehemu yake ya ardhi anayostahili na ikumbukwe kuwa Watendaji hawaruhusiwi kuuza ardhi pasi na makubaliano ya kijiji na kwa upande wa Wilaya lazima ihusike katika utoaji wa kibali cha mwisho kwa ajili ya wawekezaji" Amesema Pinda


Aidha amewasisitiza wananchi kutunza hati miliki zao za kimila na si kuazimishana ambapo hati hizo zimetambuliwa katika makundi ya Makazi na Mashamba na ndio ulinzi tosha wa Ardhi ya mwananchi.


Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mheshimiwa Hassan Ngoma amewashukuru wananchi kwa kushiriki katika mchakato wa kupima na kupanga kwa pamoja matumizi ya Ardhi ya kijiji cha Namkatila.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa