• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Serikali yaahidi neema sekta ya afya Ruangwa

Posted on: December 20th, 2018

Katika kuhakikisha inawajali wananchi wake na kuboresha huduma za afya nchini, Serikali ya awamu ya Tano imeahidi kukipatia kituo cha afya cha Luchelengwa gari la kubebea wagonnjwa pamoja na mashine ya kisasa ya Xray kabla ya Aprili 2019.

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Mheshimiwa Ummy Mwalimu amesema hayo alipokuwa kwenye ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa alipokuwa anapokea taarifa ya Afya ya Wilaya leo Desemba 20.

Mheshimiwa Ummy alitoa ahadi hizo baada ya Mkuu wa Wilaya kutaja changamoto hizo zinazosabababisha kusuasua kwa upatikanaji wa huduma ya afya ya uhakika.

" mwezi wa 3 mwakani nitakabidhi gari la kubebea wagonjwa kituo cha Afya luchelengwa na nitakabidhi mwezi wa 2 machine ya mionzi ya kisasa mwezi wa 2" amesema Waziri wa Afya

Hivyo Waziri alimtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo kuanza ujenzi mara moja wa chumba cha kisasa cha kuhifadhia machine ya mionzi katika hospital ya Wilaya ili iwe rahisi kukabidhi mashine hizo kwa wakati.

Pia aliupongeza uongozi wa Hospital ya Wilaya kwa kujitahidi kuwa na dawa zote za muhimu zinazotakiwa kupatikana hospital baada ya kukagua na kuona stoo ya dawa zilizopo hospitalini hapo.

"Nimefurahishwa na uwingi wa dawa uliopo hospitalini niwatake muendele hivi hivi kuwa na dawa za muhimu za kutosha ili tupunguze suala la wananchi wetu kununua dawa kwenye maduka ya nje ya watu binafsi" amesema Mheshimiwa Ummy.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Hashim Mgandilwa  alitoa shukurani kwa serikali  kwa kuahidiwa kupatiwa Gari la wagonjwa na mashine ya mionzi (XRAY).

Pia aliwataka madaktari kuhakikisha kila siku asubuhi wanabadili chati ya dawa ili iwe rahisi katika utendaji wao na kujua dawa ipi ipo kwa siku hiyo na ipi haipo.

" Mara nyingi nimekuwa nikipita naona hamfanyi mabadiliko ya chati ya dawa hii inasababisha wagonjwa kuandikiwa dawa zisizokuwepo kuweni na taratibu kila siku asubuhi kubadilisha itawasaidia sana katika utendaji wenu" amesema Mgandilwa

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa