• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Veta imetoa mafunzo ya ufugaji kuku na samaki ruangwa

Posted on: May 19th, 2022

Washiriki wa mafunzo ya ufugaji kuku na samaki wamepata mafunzi ya namna ya kufunga na kuandaa bwawa la samaki.

Mafunzo hayo wameyapata leo tarehe 19/05/2022 katika chuo cha Veta nandagala Ruangwa washiriki wa mafunzo hayo wametoka katika kata tisa zilizopo ruangwa ambazo ni Kata ya Nandagala, Likunja, Nkowe, Chienjere, Mnacho, Nanganga, Ruangwa Nachingwea  na Malolo.

Mkufunzi Emanueli Madinda amewahamasisha washiriki wa mafunzo hayo kuanzisha mabwawa ya samaki katika maeneo yako kwani ufugaji samaki si kazi wala mgumu kama watu wanavyoambiana

Eliendelea kusema kufuga samaki kunaitaji muda na kufuata taratibu za ufugaji ukifanya hivyo ufugaji samaki utakuwa mwepesi na utazoeleka kama ufugaji kuku.

Alisema Veta wamefanya jambo kubwa sana kuratibu zoezi hili la utoaji elimu ya ufugaji kuku na samaki na endapo washiriki wakizingatia mafunzo haya ni lazima awe mfugaji bora wa samaki.

Naye mshiriki wa mafunzo Mwalimu Lusia Chitanda amesema alikuwa anatamani kujishughulisha na suala ufugaji samaki muda mrefu ila hakuwa na elimu ila anashukuru veta kwa kuwaletea mafunzo haya.

Alisema akitoka hapa anaenda kuwa mfugaji samaki, maana samaki ni chanzo kizuri cha mapato hapa ruangwa kwasababu kwasasa samaki ruangwa kilo ni shilingi elfu kumi na niwaombe washiriki wenzangu tukitoka hapa tuanze kufuga samaki najua tumezoea kufuga kuku ila sasa tufuge samaki wanalipa.

Aliendelea kusema baada ya kupata taarifa ya mafunzo haya alifurahishwa sana na ndiyo maana ameshiriki Ila aliwaomba  uongozi wa veta kuendelea kutoa mafunzo ya ufugaji samaki ili wazidi kuwa wafugaji bora wa samaki ruangwa

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa