• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

RUANGWA YATOA ELIMU YA KILIMO BORA CHA ALIZETI NANE NANE

Posted on: August 3rd, 2025

Banda la Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa limeendelea kuvutia wakulima na wadau wa kilimo katika Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane Kanda ya Kusini, yanayoendelea kufanyika kwenye viwanja vya Ngongo, kupitia utoaji wa elimu ya kilimo cha kisasa cha alizeti chenye tija kubwa kiuchumi na kijamii.


Kwa mujibu wa Afisa Ugani wa Wilaya ya Ruangwa, Frank Sinyangwe, mbegu ya alizeti inayofundishwa kwa wakulima katika banda hilo ni aina ya mbegu bora kutoka kampuni ya Seedco, ambayo hukomaa haraka kati ya siku 75 hadi 90 na huweza kustawi vizuri katika maeneo ya joto kali au baridi.


“Gunia moja la alizeti la kilo 75 linaweza kutoa hadi lita 30 za mafuta, na kwa ekari moja mkulima anaweza kuvuna kati ya magunia 15 hadi 20 ikiwa atalima kwa kufuata kanuni sahihi za kilimo, hivyo nawasihii wakulima kuichangamkia mbegu hii kwa maendeleo yao binafsi na ya taifa kwa ujumla,” amesema Sinyangwe


Aidha, mbegu hiyo imepewa sifa ya kuwa “mbegu mkombozi”, kutokana na uwezo wake mkubwa wa kutoa mavuno mengi kwa muda mfupi, na hivyo kuwa chachu ya kuongeza kipato kwa wakulima, kulingana na maelezo yaliyotolewa katika banda hilo.


Vilevile, wakulima mbalimbali waliotembelea banda hilo wameeleza kuvutiwa na teknolojia na maarifa yanayotolewa, wakisisitiza kuwa sasa wamefunguka macho kuhusu fursa zilizopo kwenye kilimo cha mazao ya mafuta.


Kwa ujumla, banda hilo limeendelea kuwa moja ya vivutio vikubwa katika maonesho hayo, likihamasisha wakulima kuwekeza kwenye kilimo bora cha alizeti ili kuongeza uzalishaji na kuinua uchumi wa kaya na taifa.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA RUANGWA WALA KIAPO

    August 04, 2025
  • MAFUNZO YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA RUANGWA YAFUNGULIWA RASMI

    August 04, 2025
  • RUANGWA YATOA ELIMU YA KILIMO BORA CHA ALIZETI NANE NANE

    August 03, 2025
  • MKURUGENZI CHONYA AKAGUA UJENZI WA HOSTELI ZA NAMUNGO FC, ATOA MAELEKEZO YA KUKAMILISHA KABLA YA AGOSTI KUISHA

    July 31, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa