• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

RUANGWA YAPOKEA DOZI 12,500 ZA CHANJO ZA MIFUGO

Posted on: June 27th, 2025

- Serikali kuchangia gharama za chanjo ili kuwapunguzia wafugaji mzigo wa matibabu


- Zaidi ya dozi 12,000 za chanjo zitatumika kudhibiti ugonjwa wa mapafu na Sotoka kwa ng’ombe, mbuzi na kondoo


- Hereni za utambuzi wa mifugo kugawiwa bure kwa ajili ya usimamizi bora wa afya ya mifugo


Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Mwl. George Mbesigwe, amepokea jumla ya dozi 12,500 za chanjo za mifugo leo tarehe 27 Juni 2025, kwa ajili ya utekelezaji wa Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo.


Katika chanjo hizo, dozi 3,000 zimetengwa kwa ajili ya kuzuia ugonjwa wa mapafu ya ng’ombe (CBPP), huku dozi 9,500 zikiwa ni kwa ajili ya ugonjwa wa Sotoka (PPR) kwa mbuzi na kondoo.

Akizungumza wakati wa upokeaji wa Chanjo hizo Mwl. Mbesigwe ameishukuru Serikali kwa kuendelea kutoa msaada mkubwa kwa sekta ya mifugo na kwa kutambua mchango wa wafugaji katika uchumi wa taifa.


“Natoa pongezi na shukrani kwa Serikali ya awamu ya Sita chini ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwekeza kwenye sekta ya mifugo, kupitia chanjo hizi, wafugaji wetu watanufaika kwa kiwango kikubwa kwa kuwa na mifugo yenye afya na tija zaidi,” amesema  Mbesigwe.


Aidha, kampeni hiyo inalenga kuhakikisha mifugo inalindwa dhidi ya magonjwa hatari kwa gharama nafuu, ambapo ng’ombe watachanjwa kwa ruzuku ya Serikali; badala ya shilingi 1,000, wafugaji watalipa shilingi 500 tu, na Serikali kuchangia shilingi 500.


Vilevile, kwa mbuzi na kondoo, chanjo itatolewa kwa shilingi 300 badala ya 600, ambapo Serikali itachangia nusu ya gharama hiyo ili kupunguza mzigo kwa wafugaji.


Zaidi ya hapo, hereni za utambuzi kwa mifugo zitagawiwa bure kwa wafugaji wote watakaoshiriki kampeni hiyo.


Kampeni ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo kitaifa ilizinduliwa rasmi na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tarehe 16 Juni 2025, mkoani Simiyu, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali kuboresha afya ya mifugo na kuongeza tija katika sekta ya mifugo nchini.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • RUANGWA YAPOKEA DOZI 12,500 ZA CHANJO ZA MIFUGO

    June 27, 2025
  • WILAYA YA RUANGWA KUNUFAIKA NA MRADI WA URASIMISHAJI MAKAZI HOLELA

    June 24, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA

    June 23, 2025
  • DED RUANGWA AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU YA RUANGWA VETERAN’S

    June 21, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa