Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, Mwl. George Mbesigwe (kulia), akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo, Ndugu Frank Chonya, kombe la mshindi wa pili kimkoa katika mashindano ya UMISETA. Tukio hilo limefanyika leo, Mei 27, 2025, katika ukumbi wa Ofisi ya Mkurugenzi, ikiwa ni sehemu ya kutambua na kupongeza mafanikio ya Halmashauri hiyo baada ya Wilaya ya Ruangwa kuibuka mshindi wa jumla wa pili katika mashindano hayo ngazi ya Mkoa wa Lindi.
Ruangwa
Anuani ya Posta: S.L.P 51
Simu ya Mkononi: 0732932312
simu: 0732932312
Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa