• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

RUANGWA WASHIRIKI KUFANYA USAFI KUELEKEA KILELE CHA MIAKA 63 YA UHURU

Posted on: December 5th, 2024



Kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara, Wilaya ya Ruangwa imefanya zoezi la usafi likijumuisha viongozi, watumishi wa umma, na wananchi, zoezi hilo limefanyika  leo Desemba 5, 2024, katika maeneo ya Stendi ya Mabasi na Soko Kuu la Ruangwa, likilenga kuboresha mazingira na afya ya jamii.


Zoezi hilo muhimu limeongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Ruangwa, Mhandisi Zuhura Rashid, ambaye ameisisitiza umuhimu wa wananchi na wafanyabiashara kuanzisha utaratibu endelevu wa usafi


Aidha, Mhandisi Zuhura Rashid, amesisitiza kwamba mazingira safi uchochea maendeleo ya wananchi maana wanaweza kufanya kazi zao za kila siku kwa amani na utulivu bila kusumbuliwa na magonjwa ama mafuriko wakati wa mvua.


“Hali safi ya mazingira inalinda afya na kuimarisha maendeleo yetu, tujitahidi kuuweka mji wetu safi hasa tunapoelekea msimu wa mvua ili kuepuka magonjwa hatarishi kama kipindupindu,” amesema Mhandisi Zuhura.


Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Ruangwa, Ibrahim Ndoro, amesisitiza umuhimu wa kila mfanyabiashara kuwajibika katika usafi. 


“Lazima tuhakikishe kila mmoja anafuata sheria za usafi. Tushirikiane kuweka Wilaya yetu kuwa kielelezo bora cha maendeleo,” amesema Ndoro huku akionya kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya wale watakaokiuka.


Naye, Diwani wa Kata ya Ruangwa, Mhe. Alipa Mponda, amewapongeza washiriki wa zoezi hilo kwa uzalendo wao.


 “Kuacha shughuli zako binafsi na kushiriki zoezi hili ni ishara ya upendo kwa nchi yako. Tuendelee na moyo huu hata baada ya maadhimisho haya,” amesema.


Maadhimisho ya kilele cha Miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara wilayani Ruangwa yatafanyika Disemba 8, 2024, katika Viwanja vya Shule ya Msingi Likangara kuanzia saa 4:00 asubuhi. Shughuli hizo zitaongozwa na kaulimbiu mpya ya mwaka huu:

“JITOKEZE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2025 KWA AMANI NA UTULIVU.”


Ikumbukwe, shughuli mbalimbali zikiwemo midahalo, kongamano la maendeleo, michezo, na uandishi wa insha zitafanyika kuelekea kilele cha maadhimisho hayo, yakiwa na lengo la kuimarisha mshikamano wa kitaifa na kuhamasisha uzalendo kwa maendeleo endelevu.

Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa