• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

RUANGWA WAFANYA KIKAO CHA TATHMINI YA MKATABA WA LISHE ROBO YA TATU

Posted on: May 2nd, 2025

Katika kuhakikisha utekelezaji wa afua za lishe unazingatia malengo ya kitaifa na kimkakati, Wilaya ya Ruangwa imefanya kikao cha tathmini ya robo ya tatu ya mkataba wa lishe, kikiongozwa na Mkuu wa Wilaya, Mhe. Hassan Ngoma, kilichofanyika leo Mei 2, 2025, katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya.


Kikao hicho kimekusudia kutathmini utekelezaji wa shughuli za lishe kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita, kujadili mafanikio na changamoto zilizojitokeza, pamoja na kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha jamii inanufaika na huduma bora za lishe, lakini pia kuimarisha ushirikiano kati ya wadau wa sekta ya lishe wakiwemo maafisa wa afya, elimu, kilimo, mashirika yasiyo ya kiserikali na viongozi wa kijamii.

Akizungumza wakati wa kikao hicho, Mhe. Hassan Ngoma alisema amempongeza mratibu wa Lishe wa Wilaya kwa kazi nzuri anayoifanya.

 “Nimpongeze Mratibu wa Lishe wa Wilaya kwa kazi kubwa anayofanya kuhakikisha suala la lishe linapewa kipaumbele, mafanikio tuliyoyapata hadi sasa ni matokeo ya jitihada za pamoja za wataalamu na wadau wote wa maendeleo.” Amesema Mhe. Ngoma.


Aidha, Mratibu wa Lishe wa Wilaya ndugu Barikieli Gulmay Duwe ametoa  taarifa ya utekelezaji wa shughuli za lishe ikiwemo utoaji wa elimu ya lishe mashuleni, usambazaji wa virutubisho, na kampeni za uhamasishaji wa lishe bora kwa wazazi na walezi. Alibainisha kuwa pamoja na changamoto za rasilimali na mwitikio wa baadhi ya jamii, hatua kubwa zimepigwa katika kupunguza kiwango cha utapiamlo.

Kwa upande wao, washiriki wa kikao hicho wametoa mapendekezo ya kuimarisha usimamizi, kuongeza bajeti ya lishe katika ngazi ya Halmashauri, na kuendelea kutoa elimu kwa jamii ili kujenga uelewa mpana kuhusu umuhimu wa lishe bora. Kikao kimehitimishwa kwa kuazimia kila sekta kuendelea kutekeleza wajibu wake ipasavyo na kufanya ufuatiliaji wa karibu zaidi kwa kipindi kijacho.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MAAFISA WAANDIKISHAJI WAPEWA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU RUANGWA

    May 14, 2025
  • CHONYA AWATAKA MAAFISA WAANDIKISHAJI RUANGWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA UADILIFU

    May 14, 2025
  • CHONYA AWATAKA MAAFISA WAANDIKISHAJI RUANGWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA UADILIFU

    May 14, 2025
  • KUWEKWA WAZI DAFTARI LA AWALI LA WAPIGA KURA

    May 13, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa