• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

RC,amewataka Madiwani kusimamia utendaji kazi wa wataalamu Ruangwa.

Posted on: July 19th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Godfrey Zambi amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kufuatilia kwa ukaribu utendaji kazi wa Wataalamu wa Halmashauri hiyo.

Waheshimiwa madiwani mnatakiwa kiwasimamia wataalamu wa Halmashauri hii bila kuangalia ukaribu wala urafiki uliopo baina yenu na inapobainika mtu anamakosa sheria na taratibu zifuate kama inavyotakiwa.

Mkuu wa Mkoa amesema hayo wakati wa Mkutano maalumu wa Baraza la Madiwani wa kupitia hoja maalumu za ukaguzi mwaka wa 2016/2017 katika ukumbi wa Rutesco mjini Ruangwa.

Ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa imepata hati inayoridhisha, hati hii hutolewa wakati wa Mkaguzi ameridhia kuwa hakuna dosari zozote katika hesabu na taarifa za fedha zimeandaliwa kwa mujibu wa mfumo na viwango vya uandaaji taarifa za fedha zinavyokubalika kitaifa na kimataifa

“Hili ni duka ni lenu na wataalamu ni wauzaji wenu na mjue wao wanakuja na kuondoka mara kwa mara ili nyie mnakuwepo kwa muda mrefu hivyo ni wajibu kujua mauzo ya duka hilo kwa ukaribu”amesema Zambi

Pia aliwataka kufuata Sheria na taratibu zinazowekwa na kufuata sheria hizo si hiari kwa menejimenti wala madiwani na maagizo ya serikali yakija ni wajibu wao kuyatekeleza kama yanavyoagizwa” amesema  Mheshimiwa Zambi.

“Shirikianeni katika utendaji kazi mtafanikiwa kwani hakuna kitu kizuri kama ushirikiano katika kutekeleza majukumu mtafika mbali mkifanya kazi kwa pamoja na mtaifikisha mbali zaidi kwa upande  wa maendeleo Wilaya hii”amesema Zambi.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Andrea Chezue alimhakikishia Mkuu wa mkoa kufunga hoja  zilizokuwa zimebaki kutokana na mipango iliyowekwa na Menejitimenti.


Amesema Mkurugenzi Chezue kati ya hoja 57 za nyuma, 43 zimejibiwa kikamilifu na kufugwa na hoja 14 zilizobaki zipo katika hatua za utekelezaji na hoja za ukaguzi kwa mwaka 2016/2017  zipo 22 ambazo zinaendelea kujibiwa.

“Ushauri na mapendekezo ya wakaguzi yanazingatiwa  na inatarajiwa katika kipindi cha ukaguzi wa hesabu wa za Halmashauri zinazoishia juni 2018 zitahakikiwa”amesema Chezue

Aidha Mkurugenzi Mtendaji Andrea Chezue alitumia nafasi hiyo kutangaza mchezo wa kirafiki baina ya Simba na Namungo fc utakaofanyika katika uwanja mpya wa michezo Ruangwa mjini agosti 11, 2018.

MWISHO




Matangazo

  • NAFASI ZA KUJITOLEA HALMSHAURI YA WILAYA YA RUANGWA February 13, 2026
  • FOMU YA USAJILI WA WAANDAAJI WA MAUDHUI MTANDAONI February 02, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • NGUVU YA HAZINA YA MADINI INAYOBADILI HATIMA YA WANARUANGWA

    February 11, 2026
  • ASHALONGO FC VS KIBWANA FARM FC, HAKUNA MBABE

    February 08, 2026
  • RAS LINDI AWAHIMIZA MAAFISA HABARI KUIMARISHA UHUSIANO NA VYOMBO VYA HABARI

    February 05, 2026
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa