• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

RC,amewataka Madiwani kusimamia utendaji kazi wa wataalamu Ruangwa.

Posted on: July 19th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Godfrey Zambi amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa kufuatilia kwa ukaribu utendaji kazi wa Wataalamu wa Halmashauri hiyo.

Waheshimiwa madiwani mnatakiwa kiwasimamia wataalamu wa Halmashauri hii bila kuangalia ukaribu wala urafiki uliopo baina yenu na inapobainika mtu anamakosa sheria na taratibu zifuate kama inavyotakiwa.

Mkuu wa Mkoa amesema hayo wakati wa Mkutano maalumu wa Baraza la Madiwani wa kupitia hoja maalumu za ukaguzi mwaka wa 2016/2017 katika ukumbi wa Rutesco mjini Ruangwa.

Ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa imepata hati inayoridhisha, hati hii hutolewa wakati wa Mkaguzi ameridhia kuwa hakuna dosari zozote katika hesabu na taarifa za fedha zimeandaliwa kwa mujibu wa mfumo na viwango vya uandaaji taarifa za fedha zinavyokubalika kitaifa na kimataifa

“Hili ni duka ni lenu na wataalamu ni wauzaji wenu na mjue wao wanakuja na kuondoka mara kwa mara ili nyie mnakuwepo kwa muda mrefu hivyo ni wajibu kujua mauzo ya duka hilo kwa ukaribu”amesema Zambi

Pia aliwataka kufuata Sheria na taratibu zinazowekwa na kufuata sheria hizo si hiari kwa menejimenti wala madiwani na maagizo ya serikali yakija ni wajibu wao kuyatekeleza kama yanavyoagizwa” amesema  Mheshimiwa Zambi.

“Shirikianeni katika utendaji kazi mtafanikiwa kwani hakuna kitu kizuri kama ushirikiano katika kutekeleza majukumu mtafika mbali mkifanya kazi kwa pamoja na mtaifikisha mbali zaidi kwa upande  wa maendeleo Wilaya hii”amesema Zambi.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Andrea Chezue alimhakikishia Mkuu wa mkoa kufunga hoja  zilizokuwa zimebaki kutokana na mipango iliyowekwa na Menejitimenti.


Amesema Mkurugenzi Chezue kati ya hoja 57 za nyuma, 43 zimejibiwa kikamilifu na kufugwa na hoja 14 zilizobaki zipo katika hatua za utekelezaji na hoja za ukaguzi kwa mwaka 2016/2017  zipo 22 ambazo zinaendelea kujibiwa.

“Ushauri na mapendekezo ya wakaguzi yanazingatiwa  na inatarajiwa katika kipindi cha ukaguzi wa hesabu wa za Halmashauri zinazoishia juni 2018 zitahakikiwa”amesema Chezue

Aidha Mkurugenzi Mtendaji Andrea Chezue alitumia nafasi hiyo kutangaza mchezo wa kirafiki baina ya Simba na Namungo fc utakaofanyika katika uwanja mpya wa michezo Ruangwa mjini agosti 11, 2018.

MWISHO




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa