• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Rc-Zambi Awataka Wakurugenzi wa Wilaya za Mkoa wa Lindi Kuhakikisha Hospitali Hazikosi Wauguzi Licha ya Changamoto ya Watumishi Sekta ya Afyasha

Posted on: May 1st, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Godfery Zambi amewataka wakurungenzi wa Halmashauri ya Ruangwa, Liwale, Kilwa na Nachingwea kuhakikisha Zahanati zilizopo ndani ya Wilaya hizo hazifungwi kutokana na upungufu utakaojitokeza wa watumishi waliokutwa na tatizo la vyeti feki.Mh Mkuu wa Mkoa Zambi alisema wakurungenzi watendaji wa Halmashauri hizo wajitahidi kuhamisha wauuguzi watakaokuwa wengi  katika eneo moja wapelekwe katika zile zahanati ambazo zinautaji zaidi ya watumishi.


Aliyasema hayo wakati akihutubia katika sherehe za siku ya wafanyakazi dunia iliyofanyika katika Wilaya ya Ruangwa kwenye uwanja wa shule ya msingi likangara ambapo inafanyika kwa mwaka mara moja mwezi wa 5 tarehe 1.Kauli hiyo imetokana na agizo alilolitoa Rais wa Jamhuri ya Muungano John Pombe Magufuli la watumishi waliokutwa na vyeti feki waache kazi mara moja laasivyo watachukuliwa hatua za kisheria.

Aidha alisema Serikali imejipanga kupambana na watumishi wazembe na wanaofanya kazi kwa mazoea kwani uongozi wa awamu hii haupo katika kulea watu wasiotaka kubadilika.Pia aliwataka walimu wa shule za msingi na sekondari waache kunung’unika kuhusu  ya maslahi yao kwani manunguniko yanaweza wasababisha washindwe kufanyakazi ipasavyo na kusababisha matokea mabaya ya mitihani ya taifa.



“Serikali inajitahidi kutatua matatizo yanaowakabili hivyo ni wakati wa walimu huko mashuleni kufanya kazi kwa bidii na kubadilisha matokea ya darasa la saba na kidato cha nne kwa mwaka huu”alisema.Mkuu wa Mkoa alitumia nafasi hiyo kuwakaribisha wadau mbalimbali katika shughuli za mwenge ambazo katika mkoa wa Lindi mwenge utapokelewa tarehe 21 na wilaya ya Ruangwa tarehe 23 na 24 mwezi wa tano.



Wakati huo huo Mratibu wa Tucta mkoa wa Lindi Fatma .s. Chaunga aliomba serikali kuweza kupunguza kiwango cha kodi kwa wafanyakazi ipungue kutokana asilimia 9 mpaka 7 kwani bado hiyo asilimia 9 nikubwa kutokana na mshahara wa watumishi wengi.Pia aliomba serikali  kuangalia uchumi wa viwanda uweze kuzingatia ajira kwa wazawa kwanza kwasababu kunawatu wengi wanaelimu ya kutosha kufanya kazi katika viwanda 


hivyo.Hata hivyo Bi Fatma aliipongeza serikali kwa juhudi zake za elimu bure, hali hii imesababisha wazazi wengi kupata nafasi ya kupeleka watoto wao shule kwasababu hamna gharama ya ada wanayokutanayo na imesaidia kupunguza watoto wazururaji huko vijijini na mjini.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa