• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Namungo yapokelewa kifalme Ruangwa kwa kufuzu TPL 2019/2020

Posted on: April 24th, 2019

Timu ya Namungo Fc inayoshiriki ligi daraja la kwanzaTanzania Bara msimu wa 2018/19 yenye maskani yake Wilayani Ruangwa Mkoani Lindi imepata mapokezi makubwa ilipowasili hivi leo baada ya kufuzu kuingia ligi kuu kwa kuwa na jumla ya point 43 kati kundi lake B ambapo kwa mujibu wa matokeo hayo hakuna timu yeyote ambayo inaweza kuifikia pamoja na kuwa timu hizo zimebakiza michezo miwili kwa kila moja

Namungo wamepokelewa kishujaa baada ya kuwasili hivi leo Wilayani Ruangwa wakitokea mkoani Mororogoro walipocheza mchezo dhidi ya Mawenzi Market ambao uliwapata ushindi wa magoli mawili kwa moja na kuwahakikishia kuingia ligi kuu msimu ujao.

Aidha viongozi na wadau wa soka kutoka Wilayani humo na Mkoani lindi kwa ujumla walijumuika katika kuilaki kwa kuwapongeza wachezaji wa timu hiyo huku wananchi wakisisimama kando ya barabara kuwalaki wachezaji na wadau waliokuwa katika msafara wa mapokezi Hayo.

Hamisi Mgunya ambaye  yeye ni Nahodha na mchezaji mhasisisi wa Timu hiyo tokea ikiwa ligi daraja la tatu, ameelezea furaha yake kwa timu hiyo kufikia ligi kuu na kusema kuwa haikua kazi rahisi lakini kutokana na ushirikiano waliouonyesha wana Ruangwa na Mkoa wa Lindi sasa imewezekana na kuwaomba mashabiki wa soka wazidi kutoa mchango wa kuishabikia timu hiyo ili izidi kufanya vizuri inapoelekea ligi kuu msimu 2019/2020

“Nawashukuru sana wana Ruangwa ambao wametusapoti tokea kuanza kwa msimu mpaka tunapofanikiwa kwenda ligi kuu,mimi kama mchezaji nimejitahidi kupambana katika nafasi yangu tokea ligi daraja la tatu na sasa najisikia faraja sana kuona tumefanikiwa kwenda ligi kuu.”Alisema Mgunya.

Mashabiki na wadau wa soka pia wameelezea kufurahishwa kupanda kwa timu hiyo na kusema kuwa ni kufunguka kwa fursa wilayani humo ambapo zinaleta maendeleo katika sekta mbali mbali ikiwamo ya kukua kwa uchumi.

“Jambo hili ni jambo kubwa na jambo la historia kuwahi kuandikwa katika historia ya mkoa wa lindi kwahivyo ni fahari sana kwetu wana Ruangwa tuendele kuwa wazalendo kwa kuishangili timu yetu" amesema Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ruangwa Rashidi Nakumbya.

 Amesema mheshimiwa Nakumbya najua watu mnatimu zenu kubwa mnazozipenda  ila kwasasa tuhamishie mapenzi na nguvu zote kwa timu yetu Namungo kwani inahitaji msaada mkubwa Ile iweze kusonga mbele tuanze kuchangia timu yetu tuanze kuipenda timu yetu Namungo

Namungo kupata point 43 na kutangaza ubingwa unatokana na kuwa mbele kwa point nane zaidi ya wanaowafuata katika kundi lake ambao ni mbeya kwanza walio na jumla ya point 35, na hivyo hata namungo akipoteza michezo miwili iliobaki bado hakuna anaeweza kufikia point hizo katika kundi lake.

MWISHO


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 17.11.2025 November 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 25, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III August 09, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • HOSPITALI YA WILAYA YA RUANGWA YAPATA USAJILI KWA MAFUNZO ENDELEVU YA KITAALUMA (CPD)

    November 20, 2025
  • MHE NGOMA AWAPONGEZA NMB KWA KUIPANDISHA THAMANI YA KOROSHO KWA WANANCHI WA RUANGWA

    November 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE KITAIFA 2025

    November 15, 2025
  • MAAFISA UTAMADUNI WAKUTANA NA WALAMBO, NGARIBA NA WAMILIKI WA VIWANJA VYA JANDO NA UNYAGO

    November 14, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)
  • Watumishi Portal

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa