• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AFANYA KIKAO NA WANANCHI WA KIJIJI CHA MBANGALA RUANGWA

Posted on: July 17th, 2024

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania Mhe. Dunstan Kitandula, amefanya kikao na wananchi wa kijiji cha Mbangala kilichopo Kata ya Makanjiro wilayani Ruangwa.


Kikao hicho kimefanyika leo Julai 17, 2024 kikiwa na lengo la kusikiliza kero, changamoto, na kutoa elimu juu ya athari zinazosababishwa na wanyama pori, hususani Tembo, katika kijiji hicho.


Aidha Mhe. Kitandula amewashukuru wananchi wa Mbangala kwa uwazi wao katika kueleza matatizo wanayokabiliana nayo na amewahakikishia kwamba Serikali ipo bega kwa bega na wananchi katika kutatua changamoto hiyo. Amesisitiza uvumilivu kutoka kwa wananchi kwani Serikali iko kazini kutafuta suluhisho la kudumu.


Katika hatua nyingine Mhe. Kitandula ameleza kwamba Serikali imejipanga kununua helikopta mbili zitakazotumika katika zoezi la kuondoa Tembo karibu na makazi ya watu.


Sambamba na hayo, Mhe. Kitandula amesema kuwa Serikali imepokea maombi 377 ya kifuta machozi kutoka kwa wananchi waliokumbwa na matatizo ya Tembo kutoka Wilaya ya Ruangwa na imeahidi kuyashughulikia haraka na kuhakikisha wale wanaostahili wanalipwa fidia zao.


“Ninapata machungu kama mnayopata ninyi maana naelewa nini mnapitia kwa wakati huu, Serikali itashughulikia kero zote na ni suala la muda tu, pia mnatakiwa kufahamu kwamba shughuli za binadamu zimefika mpaka kwenye maeneo ya hifadhi za wanyama na kuwafanya wanyama kutoka kwenye makazi yao. Mfano, zamani Tanzania ilikuwa na Tembo 300,000 lakini hakukuwa na vurugu kama hizi za sasa ambapo tuna tembo 60,000 na tatizo limekuwa kubwa sana” amesema Mhe. Kitandula.


Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma, ameishukuru Serikali kwa msaada na jitihada za kudhibiti tatizo la Tembo katika kijiji cha Mbangala.


“Serikali inafanya kazi nzuri sana kila tukihitaji msaada wataalamu wanafika mapema sana na kutusaidia, kipekee nikushukuru Mhe. Naibu Waziri kwa ujio wako najua utatusaidia kupata majawabu ya wanambangala" amesema Mhe. Ngoma.


Nao, wananchi wa Kijiji cha Mbangala wametoa maoni, kero na mapendekezo yao kwa Serikali, wakieleza kuwa Tembo wanaleta umasikini kwa kuharibu mashamba yao na kuiomba Serikali kuchukua hatua zaidi kudhibiti tatizo hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 04, 2025
  • WANAFUNZI RUANGWA WAIBUKA KIDEDEA USAFI NA UNADHIFU UMISSETA 2025 MKOA WA LINDI

    June 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA UHIFADHI WA MAZINGIRA NA NISHATI SAFI WANDORWA

    May 28, 2025
  • RUANGWA YAPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 KUTOKA LINDI MANISPAA

    May 28, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa