• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Naibu Waziri amtaka DC kumchukulia hata mkandarasi wa umeme

Posted on: February 26th, 2019

Naibu waziri wa Nishati Mhe, Subira Mgalu amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa kumchukulia hatua za kisheria mkandarasi anaesambaza umeme wa REA  awamu ya tatu katika wilaya ya Ruangwa  endapo kama atashindwa kutimiza maagizo aliyotoa.

Naibu Waziri emeyasema hayo wakati wa halfa ya uwashaji umeme  katika vijiji vitatu ambavyo ni Kijiji cha Chimbila B, Kijiji cha Mtakuja na Kijiji cha Nandaga ambapo vyote vipo ndani ya Wilaya ya Ruangwa.

 "Hatuwezi kurudi nyuma na hatuwezi kubadili makubaliano yetu ya kuwa ifikapo julai 31 miradi yote ya REA 3 inatakiwa iwe imekamiliaka hivyo wakandarasi timize wajibu wenu"

“Napenda niwaambie nyie  wakandarasi Serikali haijawahi kushindwa jambo hivyo hatutoshidwa kuvunja mkataba na mkadarasi kama hatotimiza wajibu wake fanyeni kazi mmebakiza muda mchache mkabidhi kazi hiyo.” amesema Mhe Mgalu.

Mhe. Mgalu amemuagiza mkandarasi huyo anaesambaza umeme wa REA kuongeza idadi ya magege ili kuongeza ufanisi na ufanyaji kazi kwa wakati na kupeleka vifaa kwa wingi katika vituo vyao vya kazi.

Vilevile amemtaka kuweka utaratibu wa kutoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya kila wiki kuhusiana na ufanyaji kazi wake na kuhakikisha kila wiki vijiji vitatu vinawashwa umeme kama ambavyo walivyokubaliana na serikali.

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Hashim Mgandilwa alisema kuwa mkandarasi amekuwa na hali ya kusuasua na kusababisha huduma ya umeme kuchelewa kupatikana kwa wananchi.

"Mhe. Naibu waziri kutokana na kasi hii anayoenda nayo mkandarasi, ni dhahiri kuwa tumempa kazi nyingi, hivyo ningeomba apunguzewe vijiji, katika mkoa wa Lindi, ni Wilaya Ruangwa peeke ndio yenye vijiji vingi vipatavyo 45 vilivyoingia katika mpango huu wa REA 3.” Alisema Mhe. Mgandilwa

Baadhi ya wananchi waliohudhurilia uzinduzi huwo walitoa malalamiko wa Naibu Waziri Kuwa wameshafuata taratibu zote za uingizwaji wa umeme ila mpaka sasa hawajafanikiwa kupata kufikiwa na umeme kwa kisingizio kuwa nguzo chache. Wamemuomba Naibu Waziri kumsimamia ili apeleke nguzo za kutosha ili waweze kupata huduma ya Umeme.

Sambamba na uwashaji umeme Naibu Waziri,  amekabidhi jenereta kwa mganga mfawidhi wa kituo cha Afya Nkowe kwa niaba ya Mbunge wa jimbo la Ruangwa Mhe Kassim Majaliwa (Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) ikiwa kama chanzo mbadala cha umeme kituoni hapo ambayo ni ahadi aliyoitoa Waziri Mkuu alipofanya Ziara ya kikazi Wilayani Hapo.

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa