• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MWENYEKITI WA HALMASHAURI AWASHAURI WAJASIRIAMALI KUKUZA BIASHARA ZAO

Posted on: August 6th, 2024

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ruangwa, Mhe. Andrew Chikongwe, ametoa wito kwa wajasiriamali wa Wilaya hiyo kuongeza juhudi katika kukuza biashara zao. Akizungumza leo, tarehe 6 Agosti 2024, alipotembelea banda la Wilaya ya Ruangwa katika maonesho ya Nanenane kanda ya kusini yanayofanyika katika viwanja vya Ngongo- Lindi Manispaa na kujionea bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na wajasiriamali hao.


Mhe. Chikongwe amesisitiza umuhimu wa kujitangaza kupitia njia mbalimbali, ikiwemo Radio Ruangwa FM, ili kufikia wateja wengi zaidi. Amesema kuwa kujitangaza ni njia moja ya kuongeza mauzo na kupata fursa za kupata mikopo, hivyo kuwawezesha wajasiriamali kufanya mambo makubwa zaidi katika biashara zao.


Aidha, ametoa mfano wa mafanikio yake binafsi, Chikongwe ameeleza kuwa yeye ni msindikaji wa bidhaa za vitafunwa kama mikate, donati, mandazi, na sikonzi. Amefafanua kuwa ameweza kukuza biashara yake kwa kutumia mbinu mbalimbali za kujitangaza katika maeneo tofauti.


Sambamba na hayo, amepongeza kwa maandalizi mazuri na makubwa.

“mara ya kwanza Halmashauri yetu tumefanya vizuri sana kwenye vipando vya mazao na vipando vya malisho ya Mifugo nawapongeza sana kwa kazi nzuri niwaombe muendelee kuchapa kazi” amesema Mhe. Chikongwe.


Ikumbukwe, maonesho ya Nanenane ni fursa muhimu kwa wajasiriamali wa Ruangwa na maeneo mengine kushiriki na kuonyesha bidhaa zao. Huu ni wakati wa kujifunza mbinu mpya za kukuza biashara, kupata masoko mapya, na kujitangaza kwa wateja wapya. Nanenane inaendelea kuwa jukwaa muhimu kwa wajasiriamali kuimarisha mitandao yao na kuongeza tija katika biashara zao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa