• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MUENDELEZO WA ZIARA YA MKUU WA WILAYA YA RUANGWA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KATA YA NKOWE

Posted on: September 27th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma amefanya ziara ya kutembelea Kata ya Nkowe leo Septemba 27, 2024 ikiwa ni muendelezo wa ziara ya kusikiliza kero za wananchi wa Wilaya ya Ruangwa


Katika ziara hiyo ameambatana na wakuu wa Idara mbalimbali ikiwemo ya Idara ya Elimu, TANESCO, RUWASA, Kamati ya Ulinzi na Usalama, na nyinginezo kwa lengo la kujibu kero za wananchi


Katika sekta ya Elimu Kata hiyo imekuwa na changamoto ya madarasa  katika shule ya msingi Kipindimbi ambapo Afisa elimu wa Wilaya Ndugu. Philipo Siyaya ameeleza uwepo wa bajeti ya BOOST ambayo itatumika kurekebisha madarasa hayo


Aidha, DC Ngoma amesema kuwa fedha za Boost zitumike vizuri ili kuhakikisha madarasa hayo  yanakamilika na watoto wanasomea sehemu nzuri


Katika hatua nyingine, Mhe. Ngoma amesisitiza wazazi kupeleka chakula shuleni kwani atayeshindwa kupeleka mpaka mwisho wa mwezi huu wa Septemba atachukuliwa hatua za kisheria 


Kwa upande wake,  Kaimu Maneja wa TANESCO Ndugu Wakati George amewataka wananchi kuvuta umeme katika nyumba zao na kuacha kulalamikia nguzo za umeme


Akifafanua suala hilo DC Ngoma amewaleza wananchi kutumia nafasi hiyo kwani bei ya kuvuta umeme ni shilingi 27000 ambayo kila mtu anaweza kuilipa


Mbali na hayo, Katika suala la changamoto ya maji Kaimu Meneja wa RUWASA amewapa imani wananchi kuhusu mradi wa maji wa Nyangao unagharimu kiasi cha sh. Bilioni 119 ambao unatarajiwa kuwafikia wananchi mwanzoni mwa mwaka ujao

Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa amehitimisha mkutano huo kwa kuwasihi wananchi kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa ili kuchagua viongozi bora watakao waletea maendeleo katika maeneo yao.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa