• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Muache asome tumsaidie - Mtendaji wa Kata

Posted on: April 1st, 2019

Wakazi wa Kata ya Likuja kijiji cha Mpara wameiomba Serikali kuendelea kuwapatia adhabu kali wale wanaowakatisha masomo watoto wakike kwa kuwapatia ujauzito au kuwaoa huku ni wanafunzi.

Hayo yamesemwa wakati wa Mdahalo wa kijiji ulioendeshwa na Chama cha Wanahabari wanawake Tanzania(TAMWA) leo Aprili 1/2019

ombi hilo limetokana na kukithiri kwa watoto waliopata ujauzito wakiwa shule au kukakata kuendelea na masomo kutokana na kurubuniwa na vijana.

Naye mkazi wa kitongoji cha Mgomba Mshamu Malibiche amesema kitendo cha watoto wa kike kufeli na kupata ujauzito wakiwa shule kimekithiri katika maeneo hayo kutokana na kuwa na hali ya wanaoharibu wanafunzi hao kutokupata adhabu wanayositahiki

Amesema tatizo ni Wazazi wa mabinti wanaopata ujauzito kwani inapotokea kijana wao amepata mimba wao wanapewa rushwa kutoka kwenye familia ya mzazi wa kiume hali inayopelekea kutoka kupatikana kwa ushahidi.

"Wazazi tuamke sasa tuwasaidie watoto wetu wakike tuwalinda ili wapate elimu iliyobora na katika mazingira salama tuisaidie serikali kufichua waharibifu wa watoto wetu" amesema Malibiche.

Vile vile Bi Arafa Mohammed amesema tatizo la ndoa za utotoni litaweza kumalizwa endepo mashekhe wanaoozesha wakiwekewa sheria inayompasa kabla ya kuozesha afuatilie kama mtoto huyo ni mwanafunzi au la na je umri wake ni zaidi ya miaka 18 na atakapokiuka achukuliwe hatua za kisheria.

Pia aliuomba uongozi wa Wilaya kuwachukulia hatua wazazi wa kiume wanaokata kutoa huduma kwa watoto wao hali inayopelekea mtoto kukosa huduma bora na elimu kwasababu ya baba kutomuhudumia.

wakati huo huo Mtendaji wa kata ya Likunja Athman Abdallah aliushukuru uongozi wa TAMWA kwa kuwapatia wakazi wa kata ya Likunja elimu ya kupinga ukatili wa kijinsia kwa mtoto wa kike na wanawake.

Pia ametoa wito kwa wakazi wa kata ya Likunja kushirikiana naye kufichua wale wanaoharibia wanafunzi masomo yao, amesema  hatofumbia macho mtu yoyote atakaebaini amefanya uharibifu huo.

"muache asome tumsaidie mtoto wakike afikie malengo yake nikikubaini sitokuacha salama na nikibaini mzazi mtoto wako amepewa ujauzito au anaishi na mwanaume huku ni mwanafunzi alafu ujachukua hatua yoyote  nitaanza nawewe na mtoto wa mwenzio naye ni wako pia" amesema Mtendaji

Aidha amewataka wakazi wa kata hiyo kuzingatia makubaliano na sheria wanazowekeana, na kuwakumbusha marufuku matumizi ya pombe wakati wa kazi na atakaemkamata anauza au anakunywa atamchukulia hatua kali za kisheria.

(Mwisho)

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA March 13, 2023
  • Ona zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA RUANGWA AHIMIZA USAFI NA MAZOEZI KWA AJILI YA AFYA BORA

    May 10, 2025
  • SMAUJATA YAENDESHA ELIMU DHIDI YA UKATILI WA KIJINSIA KWA WASICHANA RUANGWA

    May 09, 2025
  • BURIANI

    May 07, 2025
  • MHE. MAJALIWA AAINISHA MAFANIKIO MAKUBWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO RUANGWA CHINI YA UONGOZI WA RAIS SAMIA

    May 03, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa