• Anuani zetu |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Ruangwa District Council
Ruangwa District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Uongozi wa Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Usafi na Mazingira
      • Kata
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Ugavi
      • Nyuki
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Tehama
    • Kata
      • Nandagala
      • Mbekenyera
      • Likunja
      • Mnacho
        • Nangumbu
      • Malolo
      • Nachingwea
      • Ruangwa
      • Makanjiro
      • Mbwemkuru
      • Narungombe
      • Nangumbu
      • Luchelegwa
      • Chinongwa
      • Mandawa
      • Chunyu
      • Matambarale
      • Nkowe
      • Nambilanje
      • Nanganga
      • Namichiga
      • Mandarawe
      • Chibula
      • Chienjele
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
  • Mradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi ya Afya
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • fomu
  • Kituo cha Habari
    • Videos
    • Hutuba
    • Albamu ya Picha
    • Habari
    • Tukio
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari

MRATIBU WA MAONESHO YA MADINI LINDI 2025 AELEZA MAFANIKIO MAKUBWA NA FURSA ZINAZOIBUKA

Posted on: June 14th, 2025

Mratibu wa Maonesho ya Madini na Fursa za Uwekezaji Mkoa wa Lindi 2025 Ndugu Mwinjuma Mohamed Mkungu, ambaye pia ni Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Uchumi na Uzalishaji Lindi, ameeleza kuwa maonesho hayo yamekuwa jukwaa muhimu kwa wananchi na wadau wa madini kujifunza, kubadilishana uzoefu, na kuimarisha mahusiano ya kibiashara.


Akizungumza leo 14 Juni, 2025 wakati akitoa taarifa ya uratibu wa zoezi hilo, wakati wa kufunga maonesho hayo amesema kwa siku nne kuanzia Juni 11 hadi 14, maonesho yamehusisha mabanda zaidi ya 120 yakiwasilisha huduma, bidhaa na teknolojia mbalimbali zinazohusiana na sekta ya madini, kati ya hayo mabanda 85 yamekuwa ya wachimbaji na taasisi za umma.


Aidha, ameongeza kuwa maonesho hayo yamekuwa sehemu ya utekelezaji wa ndoto ya muda mrefu ya Mhe. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ya kuufanya Mkoa wa Lindi kuwa kitovu cha uchumi kupitia sekta ya madini.


“Maonesho haya yamekuwa jukwaa la kipekee linalowawezesha wachimbaji na wawekezaji kujifunza na kushirikiana kwa karibu, jambo linalochochea ukuaji wa sekta ya madini hapa Lindi,” amesema Mkungu.


Vilevile, Mkungu ameongeza kuwa mafanikio ya maonesho ya mwaka 2023 yameanza kuonekana kwa kuongezeka kwa shughuli za uchimbaji, ajira, mapato ya Serikali, na kubadilika kwa maisha ya wananchi wanaojihusisha na sekta hiyo.


Mbali na hayo, amepongeza wadhamini wakuu wa maonesho, wakiwemo Ellianje Genesis, Umoja wa Vikundi vya Wachimbaji Wadogo (UVIWAMA), MAST, Lindi Jumbo, Silverstone Enterprises Ltd, na PMBet, pamoja na taasisi zaidi ya 50 zilizotoa michango yao.


Ikumbukwe, kaulimbiu ya maonesho ya mwaka huu ni “Madini na Uwekezaji, Fursa ya Kiuchumi Lindi. Shiriki Uchaguzi Mkuu 2025.”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA November 08, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAHUDUMU WA AFYA 872 KWA NGAZI YA JAMII HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA July 09, 2024
  • TANGAZO LA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA August 01, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA RUANGWA 27 MEI 2025 May 27, 2025
  • Ona zote

Habari mpya

  • WILAYA YA RUANGWA KUNUFAIKA NA MRADI WA URASIMISHAJI MAKAZI HOLELA

    June 24, 2025
  • WATUMISHI LINDI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA KUJIFUNZA

    June 23, 2025
  • DED RUANGWA AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU YA RUANGWA VETERAN’S

    June 21, 2025
  • DC NGOMA AZINDUA UWANJA WA MICHEZO WA RUANGWA VETERANS SPORTS CLUB

    June 21, 2025
  • Ona zote

Video

MAENDELEO YATAKUJA KWA KULIPA USHURU, TOZO NA ADA ZA HALMASHAURI. MWANANCHI LI0A KODI KWA MAENDELEO YETU
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • Mpango wa Bajeti 2017/2018(MTEF)

Kurasa zinazofanana

  • TAMISEMI
  • UTUMISHI
  • BARAZA LA MITIHANI

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Anuani zetu

    Ruangwa

    Anuani ya Posta: S.L.P 51

    Simu ya Mkononi: 0732932312

    simu: 0732932312

    Barua pepe: ded@ruangwadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa